Raha, karaha za kiafya kwa watembea pekupeku

Dar es Salaam. Kutembea pekupekuau kutembea bila viatu, ni tabia inayozidi kupata umaarufu duniani kote kutokana na faida zake za kiafya na kiakili.  Hata hivyo, kama ilivyo kwa tabia nyingi, kuna madhara yanayoweza kutokea ikiwa hakutofanywa kwa tahadhari.  Katika makala haya tutaangazia faida na madhara yanayohusiana na kutembea pekupeku. Faida za kutembea pekupeku Kutembea pekupeku…

Read More

Mtaalamu wa haki za juu anakanusha mashambulizi dhidi ya hospitali – Global Issues

William O'Neill, ambaye anaripoti kwa Kamishna Mkuu wa Haki za Kibinadamu wa Umoja wa Mataifa, aliangazia shambulio dhidi ya Hospitali ya Bernard Mevs huko Port-au-Prince mnamo Desemba 17 na mauaji ya waandishi wa habari kadhaa na afisa wa polisi katika Hospitali Kuu mnamo 24 Desemba. . Waathiriwa walikuwa wakihudhuria ufunguzi rasmi wa hospitali hiyo. “Magenge…

Read More

Musonda ashindwa kuvumilia, afichua siri nzito Yanga

MSHAMBULIAJI aliyemaliza mkataba na Yanga, Keneddy Musonda ameweka bayana sababu ziliyomfanya ashindwe kufanya vizuri ndani ya kikosi hicho, akidai ni presha kubwa iliyokuwa juu yake baada ya kuondoka kwa Fiston Mayele, kisha akatoa msimamo kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi. Musonda alibaki Yanga akiwa mshambuliaji tegemeo baada ya kuondoka kwa Mayele aliyetimkia Pyramids ya…

Read More

NG’OMBE 800 NA KUKU 100 ZACHANJWA WILAYANI UVINZA

  Madaktari wa Mifugo wakitekeleza zoezi la uchanjaji Ngombe na Kuku leo Julai 3, 2025 wakazi wa zoezi hilo wilayani Uvinza mkoa wa Kigoma. Na Chiku Makwai– W-MUV- KIGOMA Serikali Kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi imeendelea na utekelezaji wa Kampeni ya Chanjo na Utambuzi wa Mifugo mkoani Kigoma ambapo Ng’ombe 800 na Kuku 100…

Read More

Sakata la Kakolanya lachukua sura mpya Singida Fountain Gate

SAKATA la kipa namba moja wa Singida Fountain Gate, Beno Kakolanya limechukua sura mpya ikiwa ni siku chache tangu nyota huyo wa zamani wa Tanzania Prisons, Yanga na Simba kufichua kuwa baada ya kuijibu barua ya kutokwenda katika Kamati ya Nidhamu, Ijumaa iliyopita, akaondolewa kwenye ‘group’ la WhatsApp wachezaji, huku nyumba yake akipewa mchezaji mwingine….

Read More