CAG AFANYA ZIARA ENEO LA HIFADHI YA NGORONGORO

Na Hamis Dambaya, Ngorongoro. Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu  za Serikali Bw. Charles Kichere  ametoa wito kwa watumishi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro kuendelea kufanya kazi kwa kuzingatia sheria, taratibu, kanuni na kushirikiana ili kulinda matumizi sahihi ya rasilimali za umma. Akizungumza na menejimenti ya Ngorongoro, Kichere amesema njia pekee ya taasisi kufanya…

Read More

JKT Tanzania yakomaa na mambo manne

KATIKA kipindi hiki kirefu ambacho JKT Tanzania haina mechi ya mashindano, kocha mkuu wa kikosi hicho, Ahmad Ally ameweka wazi mpango wao kuhakikisha hawatoki kwenye mstari. Katika mpango huo, kocha huyo ametaja mambo manne anayokomaa nayo kuwa ni uimara wa mwili, ubora wa kiufundi, mbinu na mifumo ya uchezaji, pamoja na utayari wa kisaikolojia. Akizungumza…

Read More

Vifo vya kujiua vyageuka tishio

Dodoma/Dar.  Wakati Tanzania ikiadhimisha siku ya kuzuia kujiua duniani, imeelezwa idadi ya wanaojiua nchini inaongezeka, wanaume wakiongoza. Kuokana na hilo, mamlaka zinazohusika zimetakiwa kuchukua hatua za haraka kukabiliana na hali hiyo. Kwa mujibu wa Wizara ya Afya, jitihada kadhaa zinachukuliwa zikiwamo kampeni za uhamasishaji, kuboresha huduma za ushauri katika vituo vya afya na kuanzisha namba…

Read More

INEC yaahirisha uchaguzi Fuoni, sababu yatajwa

Dar es Salaam. Kutokana na kifo cha mgombea ubunge wa Fuoni kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Abbas Ali Mwinyi, Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imeahirisha uchaguzi wa ubunge katika jimbo hilo hadi pale itakapopanga tarehe nyingine ya uteuzi wa wagombea. Abbas ambaye ni kaka mkubwa wa Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi,…

Read More

Sababu TPA kuja na ada mpya, kuziahirisha

Dar es Salaam. Siku moja baada ya ada mpya ya uendelezaji wa miundombinu ya bandari (PID) kulalamikiwa, Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imeeleza sababu za kuianzisha na kuisogeza hadi Julai mosi mwaka huu. Ada hizo mpya zilipaswa kuanza kutumia Machi 8, 2026 lakini baada ya kutangazwa na kuibua mjadala mkubwa miongoni mwa wadau…

Read More