
KITUO CHA UWEZESHAJI WANANCHI KIUCHUMI CHAZINDULIWA NYANG’HWALE
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa akizindua Kituo cha Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi mwishoni mwa wiki kilichopo chini ya Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) Wilaya ya Nyang’hwale Mkoani Geita. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa akimkabidhi Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera,…