RAIS SAMIA AZINDUA VITABU VYA KISWAHILI KOREA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akinyanyua juu vitabu vya Kiswahili kwa wasiozungumza Kiswahili mara baada ya kuvizindua kwenye mkutano na Watanzania waishio Jamhuri ya Korea tarehe 05 Juni,2024. Kushoto ni Mwalimu wa Kiswahili Ubalozini Tunu Magembe ambaye ndiye Mtunzi wa Kitabu hicho. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania…

Read More

Wanne wafariki ajalini wakitoka harusini

Dodoma. Watu wanne wamefariki dunia baada ya lori aina ya Scania lilobeba mafuta ya petroli kugongana uso kwa uso na basi aina ya Coaster iliyobeba ndugu waliokuwa wakitoka katika sherehe ya harusi Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Kamishana Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi la Polisi, George Katabazi amesema ajali hiyo…

Read More

Tanzania Prisons inaanza na wachezaji hawa

BAADA ya uongozi wa Tanzania Prisons kufanya kikao cha tathimini ya timu hiyo ilichofanya msimu uliomalizika na kipi wakifanye ujao, wameanza mazungumzo ya kuwaongezea mikataba wachezaji wa kikosi chao. Katibu wa timu hiyo, John Matei amesema kwamba katika kikosi hicho kuna wachezaji ambao mikataba yao imeisha na wanahitaji kuendelea nao, hivyo kabla ya kuanza kusaka…

Read More

Waziri Makamba awaasa Marekani kuliishi Azimio la Uhuru

Katika kusherehekea maadhimisho ya miaka 248 ya Uhuru wa Marekani, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. January Makamba (Mb.), ameishukuru na kuipongeza Marekani kwa mchango wake katika maendeleo ya Tanzania huku akiwasihi kukumbuka na kuenzi yale waliyoazimia Julai 4, 1776. Waziri Makamba amezungumza hayo akihutubia katika hafla hiyo iliyofanyika katika…

Read More

Kwa Raizin simu zinaita sana

STRAIKA na kinara wa mabao katika Championship msimu uliopita, Raizin Hafidh amesema licha ya kupokea simu nyingi kutoka timu kadhaa kuhitaji huduma yake, lakini bado hajaamua huku akitaja dau ili kunasa saini yake. Nyota huyo mwenye rekodi ya kupandisha timu Ligi Kuu, alikuwa mfungaji bora Championship akitupia mabao 22 katika mashindano yote na kuirejesha Mtibwa…

Read More

Wenye ulemavu waonya uvunjifu wa umani kuelekea uchaguzi mkuu

Mbeya. Wakati joto la uchaguzi mkuu likizidi kupanda nchini, Chama cha Watu Wenye Ulemavu wa Viungo nchini (Chawata) Mkoa wa Mbeya kimesema amani na usalama unahitajika kuliko kitu kingine kwani hali ikichafuka wao ndio waathirika wa kwanza.  Pia, kimeomba vyama vyote vinavyoshiriki uchaguzi kutoa fursa kwa watu wenye ulemavu wa viungo ili kupata wawakilishi watakaoweza…

Read More

Kongamano la kimataifa la Halal kufanyika Dar wiki ijayo

  KAMPUNI ya MICO International Halal Bureau Limited, imeandaa kongamano la biashara na wadau wa Hahal litakalofanyika siku ya Jumatano jijini Dar es Salaam. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Meneja Uhusiano wa kampuni hiyo, Mohamed Matano, alisema MICO ni kampuni pekee Tanzania ambayo inatoa ithibati ya Halal kwa wafanyabiashara na kampuni zinazotoa…

Read More