Kili Challenge 2024 yanzinduliwa, mafanikio yake yatajwa

*TACAIDS yawashukuru wadau wanaoungana na serikali katika jitihada za kudhibiti maambukizi ya VVU Na Nadhifa Omar, TACAIDS Kampeni maarufu ya kuchangisha fedha za UKIMWI ya Kili Challenge imezinduliwa kwa mwaka 2024 ikitarajiwa kukusanya Shilingi Bilioni mbili. Ikumbukwe kuwa Kampeni ya Kili Challenge huratibiwa na Mgodi wa Dhahabu wa Geita Gold Mine Limited (GGML) kwa kushirikiana…

Read More

NBAA YAWAFIKIA TANGA – MICHUZI BLOG

Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) inawakaribisha wananchi kwenye Maadhimisho ya Kitaifa ya Elimu, ujuzi na ubunifu mwaka 2024 yenye kauli mbiu isemayo “Elimu, ujuzi na ubunifu kwa uchumi shindani” yaliyoandaliwa na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Akizungumza na Michuzi Blog, Afisa Uhusiano na Mawasiliano Magreth Kageya amesema wanatoa…

Read More

Uhusiano kati ya CCM, CPC fursa ya kutangaza utalii

Unguja. Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Dk Mohamed Said Dimwa, amesema kuimarika kwa uhusiano wa kisiasa na kiuchumi kati ya chama hicho na Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) ni fursa kwa Zanzibar kutangaza sekta ya utalii kimataifa. Amesema hayo katika mazungumzo na ujumbe maalumu wa CPC yaliyofanyika ofisini kwake Kisiwandui,…

Read More

WASOMI,WANADIPLOMASIA WATAJA YATAKAYOFANIKISHA ULINZI,USALAMA AFRIKA…VIJANA WATAJWA

    Na Said Mwishehe, Michuzi TV WASOMI wa kada mbalimbali pamoja na wabobezi wa masuala ya ulinzi, Usalama pamoja na Diplomasia katika Bara la Afrika wameelezea mambo muhimu yanayoweza kusaidia katika harakati za kuimarisha amani katika Bara hilo yakiwemo ya kuwashirikisha vijana. Wakizungumza katika Kongamano maalumu lililoandaliwa na Uongozi Institute kujadili masuala ya ulinzi…

Read More

Ukosefu wa taarifa watajwa chanzo cha mikopo umiza

Geita. Kukosekana kwa taarifa sahihi za namna gani ya kupata teknolojia za kuzalisha bidhaa zenye ubora, yalipo masoko na namna ya kupata mikopo kutoka kwenye taasisi za fedha ni miongoni mwa changamoto zinazowakwamisha wajasiriamali wadogo kujikwamua kiuchumi. Hayo yamesemwa na Meneja wa Shirika la kuhudumia Viwanda Vidogovidogo ( Sido) mkoa wa Geita, Nina Nchimbi wakati…

Read More