Ujenzi wa barabara watajwa kuwakosesha wananchi maji

Unguja. Wakazi wa Mtumwajeni, Mkoa wa Mjini Magharibi wamesema katika shehia hiyo hawapati huduma ya maji kwa kipindi cha mwezi mmoja sasa, bila kuelezwa tatizo na mamlaka inayohusika. Wakizungumza na Mwananchi Digital kwa nyakati tofauti Mei 24, 2024 wamesema siyo tu kukosa huduma, bali maji yanapotoka huwa na uchafu jambo linalohatarisha afya zao. Hata hivyo,…

Read More

MAMIA YA WASHIRIKI KATIKA MBIO ZA RUN FOR BINTI

Mei 25, 2024, Dar es Salaam: Washiriki zaidi ya 700 walishiriki katika mbio za Run for Binti zilizofanyika katika Viwanja vya Oysterbay, ikiwa ni msimu wa tatu wa mafanikio wa mbio hizi zinazoratibiwa na kuandaliwa na Smile for Community (S4C) kwa kushirikiana na Legal Services Facility (LSF). Lengo kuu la mbio hizi ni kuwawezesha watoto…

Read More

Luvanga arejeshwa Twiga Stars | Mwanaspoti

BAADA ya kukaushiwa kwa muda mrefu, hatimaye mshambuliaji nyota wa timu ya soka ya wanawake ya  Al Nassr ya Saudi Arabia, Clara Luvanga amejumuishwa katika kikosi cha wachezaji 21 wa timu ya taifa ya wanawake ya Tanzania, Twiga Stars kinachotarajia kushiriki mashindano maalumu. Clara aliyetwaa taji la Ligi Kuu ya Saudia akiwa na Al Nassr…

Read More

Kikwete: Chaguzi chanzo migogoro Afrika

Dar es Salaam. Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete amesema miongozi mwa sababu za kuwepo kwa migogoro kwa nchi za Afrika ni kutozingatiwa kwa miongozo ya uwepo wa uchaguzi ulio huru na wa haki. Kikwete ameyasema hayo leo Mei 25, 2024 jijini Dar es Salaam katika mjadala uliokuwa sehemu ya mkutano wa maadhimisho…

Read More

Pati la Kibingwa laleta neema kwa wafanyabiashara

SHAMRASHAMRA za Pati la Likipigwa zikiendelea kwa sasa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkaja, jijini Dar es Salaam, nje kidogo ya  uwanja huo utakaotumika kwa mechia ya Ligi Kuu Bara kati ya Yanga na Tabiora United, biashara zimeanza kuchangamka maeneo tofauti na kuwa neema kwa wafanyabiashara. Yanga inatarajiwa kukabidhiwa taji la 30 la Ligi Kuu Bara…

Read More

Kigoma waomba kambi ya madaktari bingwa

Kasulu. Wakazi wa Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma, wameiomba Serikali na taasisi binafsi kuwa na utaratibu kwa kuwawekea kambi ya madaktari bingwa wa magonjwa mbalimbali angalau mara moja kwa mwezi. Hilo litawawezesha kupata huduma za kitatibu na kupunguza gharama za kusafiri kuzifuata. Wananchi hao walitoa rai hiyo leo Mei 25,2024 katika Hospitali ya wilaya ya…

Read More

Chopa yashusha Kombe kwa Mkapa

HATIMAYE ile chopa maalumu iliyokuwa na jukumu la kulileta Kombe la Ligi Kuu Bara litakalokabidhiwa Yanga mara baada ya mechi dhidi ya Tabora United, imelishusha kombe hilo huku mashabiki wakiisindikiza kwa shangwe kubwa. Saa 8:48 mchana chopa hiyo imeshuka katikati ya eneo la kucheza la Uwanja wa Benjamin Mkapa kisha likashushwa kombe hilo la ubingwa…

Read More

DC ahimiza matumizi ya pedi yazingatie uhifadhi wa mazingira

Arusha. Mkuu wa wilaya ya Arusha, Felician Mtahengerwa amewataka wadau wa hedhi salama, kuhamasisha jamii juu ya matumizi ya taulo za kike (pedi) kwa kuzingatia usafi, uhifadhi na utunzaji wa mazingira. Amesema kuwa baadhi ya taulo za kike hasa zinazotumika kutupa zimekuwa chanzo cha uharibifu wa mazingira. Mtahengerwa ameyasema hayo leo Mei 25, 2024 katika…

Read More

Rubani mtarajiwa Tusiime awashangaza wazazi

Wanafunzi wa awali wa shule ya msingi Tusiime jijini Dar es Salaam walioonyesha kama marubani na wahudumu wa ndege wakati wa maonyesho ya kutengeneza vitu mbali mbali shuleni hapo   Watu wakiangalia shanga zilizotengenezwa  na wanafunzi wa shule ya awali Tusiime Tabata Magengeni Na Mwandishi Wetu WAZAZI walioshiriki siku ya taaluma na maonyesho ya shule…

Read More

Kwa Mkapa kumenoga | Mwanaspoti

ZIKIWA zimesalia saa tatu tu ili mechi muhimu kati ya Yanga na Tabora United ichezwe, mashabiki nao hawapo nyuma. Yanga leo inaikaribisha Tabora United katika Uwanja wa Benjamin Mkapa ikiwa ni mechi ya 29 katika ligi msimu huu, ikiwa imebakiza mchezo mmoja mkononi katika mechi itakayoanza saa 10:00 jioni. Wanajangwani hao watakabidhiwa ubingwa wa Ligi…

Read More