Wanne wadakwa kwa kusafirisha punda 46 nje ya nchi

Jeshi la Polisi kikosi cha kupambana na kuzuia wizi wa mifugo kwa kushirikiana na Wizara ya Mifugo na Uvuvi Wilaya ya Longido mkoa wa Arusha limewakamata watuhumiwa wanne pamoja na mifugo aina ya punda 46 wakisafirishwa kinyume na taratibu kwenda nje ya nchi. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Hayo yamebainishwa leo Jumamosi na Kamanda wa…

Read More

Wawakilishi wataka ukarabati wa shule kongwe

Unguja. Licha ya mafanikio ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali kwa kujenga shule mpya za kisasa, wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wamesema kuna haja ya kuzifanyia ukarabati mkubwa za zamani ili kuleta usawa kwa wanafunzi. Pia wameitaka wizara kutoa ufafanuzi kuhusu miongozo wanayotumia kuita majina shule zinazojengwa,  kwani huenda majina ya asili yakapotea…

Read More

Chopa ya Yanga yaliamsha kwa Mkapa

Wakati mashabiki wa Yanga wakiendelea kufurika katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, juu angani kuna burudani ya aina yake inaendelea. Nje ya uwanja, kuna mistari na mashabiki wanaingia uwanjani na wengine wakiwa ndani tayari, lakini ile chopa ya Yanga nayo imekatiza hapa uwanjani na kuibua shangwe. Chopa hiyo imezunguka mara mbili mbili juu ya eneo la…

Read More

DC James: Badala ya kupishana kusikiliza kero, tuzitatue

Iringa.  Mkuu wa Wilaya ya Iringa, Kheri James amesema badala ya kufanya ziara za kusikiliza malalamiko, watendaji wa Serikali kwenye wilaya hiyo wana jukumu la kuhakikisha wanatoa huduma zinazomaliza kero hizo. Amesema ukiona wananchi wanajazana uwanjani kutoa kero zao maana yake kuna baadhi ya watendaji hawatekelezi wajibu wao ipasavyo. Akizungumza kwenye Baraza la Madiwani wa…

Read More

WAAFRIKA KULINDA KILIMO NA AFYA YA UDONGO

NA. MWANDISHI WETU . Leo Mei 25,2024, ikiwa ni siku ya Afrika,tujadili hili la kilimo na usalama wa udongo Afrika, athari zake bila kusahau utatuzi wake. Lugha ya sokoni kati ya wauzaji na wanunuzi katika masoko ya kawaida ya watu wa hali ya chini wanaoishi chini ya dola mbili kwa siku barani Afrika sasa hawaongei…

Read More

‘Aliyemtonya’ Lissu kuhusu rushwa arejea madarakani

Mwenyekiti wa zamani wa Chadema Mkoa wa Iringa, William Mungai ametetea nafasi yake baada ya kuzoa kura 45 dhidi ya kura 34 ambazo mpinzani wake, Emmanuel Chengule amepata. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Mungai ameshinda uchaguzi huo uliofanyika jana Ijumaa mjini Iringa katika Kikao cha Baraza la Mashauriano Mkoa wa Iringa kilichoketi na kuwachagua viongozi…

Read More

Dereva mbaroni kwa kusababisha ajali Moro

Morogoro. Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro Alex Mkama amesema wanamshikilia dereva wa basi la Shabiby namba T341 EEU, Said Malugula mkazi wa Dar es salaam baada ya kusababisha ajali iliyotokea saa 12:20 asubuhi ya leo Mei 25,2024 eneo la Kihonda kwa Chambo. Gari hilo lilikuwa likitokea Morogoro kuelekea mkoani Dodoma.Akizungumza na Mwananchi…

Read More