
Hongera JKT Queens, Kenya wakubali tu
KIJIWE kinawapongeza Maafande wetu wa kike JKT Queens kwa kuibuka mabingwa wa mashindano ya kuwania kufuzu Klabu Bingwa Afrika 2025 yaliyofikia tamati Jumanne wiki hii huko Kenya. Kwa kutwaa huko ubingwa, JKT Queens imejihakikishia tiketi ya kushiriki Ligi ya Mabingwa Afrika kwa Wanawake, shindano ambalo wiki kama mbili au tatu zijazo litafanyika Algeria likishirikisha klabu…