Hongera JKT Queens, Kenya wakubali tu

KIJIWE kinawapongeza Maafande wetu wa kike JKT Queens kwa kuibuka mabingwa wa mashindano ya kuwania kufuzu Klabu Bingwa Afrika 2025 yaliyofikia tamati Jumanne wiki hii huko Kenya. Kwa kutwaa huko ubingwa, JKT Queens imejihakikishia tiketi ya kushiriki Ligi ya Mabingwa Afrika kwa Wanawake, shindano ambalo wiki kama mbili au tatu zijazo litafanyika Algeria likishirikisha klabu…

Read More

Simama ya Mamdani juu ya mauaji ya kimbari ni muhimu zaidi kuliko mienendo ya kumkamata Netanyahu – maswala ya ulimwengu

Maoni na Mandeep S.Tiwana (New York) Jumanne, Septemba 23, 2025 Huduma ya waandishi wa habari NEW YORK, Septemba 23 (IPS) – Hakuna kiongozi anayehusika na unyanyasaji wa watu wengi anayefurahia kutokujali zaidi kwenye hatua ya kimataifa kuliko Benjamin Netanyahu. Hii ni kwa sababu ya safu ya kushangaza ya kushawishi ya pro-Israel kwenye vyama viwili vikuu…

Read More

 Kumradhi Nehemiah Mchechu | Mwananchi

Kampuni ya Mwananchi Communications Limited, wachapishaji wa magazeti ya Mwananchi, The Citizen, na Mwanaspoti, inaomba radhi kwa Nehemiah Kyando Mchechu kutokana na makala iliyochapishwa katika toleo Na. 4551 la gazeti la The Citizen Ijumaa la Machi 23, 2018. Tunakiri kuwa habari hiyo ilikuwa na tuhuma ambazo zimebainika kuwa za kudhalilisha dhidi ya Mchechu na ilikuwa…

Read More

Ripoti ya CAG yafichua mpya Tanzania kukabiliana na maafa

Dar es Salaam. Halmashauri nchini Tanzania hazijajipanga kukabiliana na maafa, hususan mafuriko, kutokana na kutotenga bajeti maalumu kwa ajili ya shughuli hizo muhimu. Hayo yamebainishwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere, katika ripoti yake aliyoangazia utekelezaji wa ukaguzi kuhusu usimamizi wa mafuriko, iliyofanywa kwenye halmashauri sita kwa miaka ya…

Read More

Kutoka chupa za plastiki hadi vifaa vya ujenzi

Dar es Salaam.  Ni simulizi ya Hellena Silas, mwanzilishi na mkurugenzi wa Kampuni ya Arena Recycling, inayojihusisha na urejelezaji taka za plastiki kutengeneza vifaa vya ujenzi kama matofali na mbao mbadala. Bidhaa hizi zinatumia taka za plastiki na mchanganyiko wa malighafi nyingine. Kinachofanyika ni ushuhuda wa jinsi mawazo ya ubunifu, juhudi na mapenzi ya kweli…

Read More