
DPP amfutia kesi Dk Slaa, aachiwa huru
Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemfutia kesi mwanasiasa Mkongwe nchini, Dk Wilibrod Slaa (76) baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) kuieleza Mahakama kuwa hana nia ya kuendelea na shauri hilo dhidi ya mshtakiwa huyo. Mshtakiwa huyo alikuwa anakabiliwa na shitaka moja la kusambaza taarifa za uongo katika Mtandao wa X kinyume…