Kigogo… Pacome tatizo Aziz KI

JAMAA aliyemleta kiungo wa Yanga, Pacome Zouzoua nchini ametazama kiwango cha mchezaji huyo kwenye mchezo dhidi ya Mashujaa na kusema kinachomzuia staa huyo kuonyesha makali yake zaidi ni nafasi anayocheza. Pacome ambaye amekuwa mchezaji muhimu kwenye kikosi cha Yanga kuanzia amejiunga na kikosi hicho  alionyesha kiwango cha juu kwenye mechi iliyopita na kutoa pasi mbili…

Read More

Kesi wanachuo wanaodaiwa kumjeruhi mwenzao kutajwa leo

Dar es Salaam. Kesi ya kusababisha madhara mwilini inayowakabili wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Mary Matogolo (22) na wenzake wawili, itatajwa leo Jumatatu Julai 14, 2025 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. Mary na wanafunzi wenzake  wanakabiliwa na mashitaka tisa, likiwemo la kutishia kuua, kutoa taarifa za uongo mitandaoni na uharibifu…

Read More

Inapokanzwa Ulimwenguni Katika Mahali baridi zaidi Duniani – Maswala ya Ulimwenguni

Mfano wa multilateralism, Antarctica inafungwa na makubaliano ya Antarctic yenye mataifa 57 yaliyowekwa kwa amani na sayansi. Pia ni hifadhi kubwa ya maji safi kwenye sayari yetu. Antarctica haina mji mkuu kwa sababu ni bara, sio nchi. Mikopo: UNDP/Raja Venkatapathy Maoni na Raja Venkatapathy Mani (Antarctica) Jumatatu, Februari 24, 2025 Huduma ya waandishi wa habari…

Read More

Kinana: Hatukubali kushutumiwa kwa uongo

Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Abdulrahman Kinana amesema viongozi wa chama hicho hawakatai kukosolewa, kusahihishwa, lakini hawakubali kuzushiwa wala kushutumiwa kwa mambo ambayo hayapo au ya uwongo. Pia amewataka Watanzania kutokubali kufarakanishwa, kupandikizwa chuki dhidi ya Rais Samia Suluhu Hassan kuwa hana nia njema na Bara. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Kinana ametoa kauli hiyo…

Read More

Valentino atabiriwa makubwa JKT Tanzania

KOCHA wa JKT Tanzania, Ahmad Ally amesema mshambuliaji wa timu hiyo, Valentino Mashaka ni mmoja wa wachezaji ambao taifa litajivunia hivi karibuni kutokana na kipaji chake, huku akimtabiria kufanya makubwa msimu huu kama atatuliza akili na kupiga soka. Ally alisema katika kikosi hicho ana nafasi ya kucheza na kuonyesha kiwango chake, lakini anachotakiwa Mashaka ni…

Read More

Wadau walia na mfumo unyamazisha vyuo vikuu katika siasa

Dar es Salaam. Wanazuoni nchini wametaka mabadiliko ya Sheria ya Vyuo Vikuu ili kuruhusu ushiriki huru wa wanazuoni katika kuchagiza mijadala na maendeleo ya demokrasia na elimu ya uchaguzi nchini. Hayo yamejiri katika mahojiano maalumu na Mwananchi kufuatia maoni kuwa taasisi za elimu nchini zimekuwa kimya katika ajenda za demokrasia na uchaguzi tofauti na ilivyozoeleka….

Read More