JOWUTA , THRDC WALAANI WANAHABARI KUKAMATWA NA KUPIGWA

………………… Na Mwandishi Wetu CHAMA cha Wafanyakazi katika Vyombo vya Habari Tanzania (JOWUTA) na Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binaadamu nchini (THRDC) wamelaani kuanza kuibuka matukio ya waandishi wa habari na watangazaji kukamatwa na baadhi kupigwa na hata kuharibiwa vifaa vyao vya kazi na vyombo vya dola. Kauli ya kulaani imetolewa leo Aprili 25…

Read More

Kuna sababu nyingi Tamisemi kutosimamia uchaguzi

  SISI raia watatu – Bob Wangwe, Bubelwa Kaiza na Ananilea Nkya, katika shauri tulilofungua Mahakama Kuu, Kanda ya Dar es Salaam, kwa niaba ya Raia wa Tanzania na tayari limeshasikilizwa na hukumu ni tarehe 25 Oktoba 2024, katika kuonyesha TAMISEMI haina mamlaka kusimamia uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024, mawakili wetu walizingatia Sheria za…

Read More

BoT yaja na mfumo wa kukomesha mikopo umiza

Dodoma. Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba amezindua mfumo mpya wa kifedha unaolenga kushughulikia na kutokomeza changamoto zinazowakabili watumiaji wa huduma hizo ikiwamo suala la mikopo umiza na kausha damu. Mfumo huo umetajwa kuwa sehemu ya juhudi za Serikali kuhakikisha kunakuwapo na uwazi, uadilifu na ulinzi kwa wateja wa huduma za kifedha, hususan wale wanaoathirika…

Read More

UN inaonya uhaba wa shaba ina hatari ya kupunguza nguvu za ulimwengu na mabadiliko ya teknolojia – maswala ya ulimwengu

Katika hivi karibuni Sasisho la Biashara ya Ulimwenguniiliyotolewa wiki hii, Unctadinaelezea Copper kama “malighafi mpya ya kimkakati” kwenye moyo wa uchumi wa ulimwengu wa haraka na unaongeza nguvu. Lakini kwa mahitaji yaliyowekwa kuongezeka zaidi ya asilimia 40 ifikapo 2040, usambazaji wa shaba uko chini ya shida kubwa – ikisababisha chupa muhimu kwa teknolojia kuanzia magari…

Read More