SOMO LA USAJILI LA WAMILIKI WA GEREJI LATOLEWA NA TIRA

Kamishna wa Bima Dkt.Baghayo Saqware amewataka wamiliki wa gereji za kutengeneza magari, kujisajili katika Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA) ili kuepusha changamoto ikiwemo udanganyifu, ucheleweshwaji wa malipo na huduma mbovu kwa wateja wao ambapo TIRA inawajibika kusimamia haki za pande zote mbili. Dkt.Baghayo ameyasema hayo jijini Dar es salaam wakati wa semina ilitolewa…

Read More

Mwarobaini kukabili moshi wa magari barabarani wapatikana

Dar es Salaam.  Katika kukabiliana na uchafuzi wa mazingira unaotokana na moshi wa magari yanayotumia mafuta, mabasi ya umeme na gesi yamezinduliwa ili kuepuka changamoto hiyo. Mabasi hayo yamezinduliwa leo Ijumaa Mei 24, 2024 katika Jukwaa la Kibiashara baina ya Tanzania na Uganda, linalofanyika jijini Dar es Salaam huku likishirikisha kampuni mbalimbali, mashirika ya uuma,…

Read More

Katwila, Mwangata wapewa ‘thank you’ Mtibwa

MABOSI wa timu ya Mtibwa Sugar umewapiga chini, Kocha mkuu wa timu hiyo,  Zuberi Katwila pamoja na wasaidizi wawili,  Kocha wa Makipa, Patrick Mwangata na Meneja, Henry Joseph kutokana baada ya timu na mwenendo mbaya katika michezo ya Ligi kuu Bara ikiwa inaburuza mkia kwa sasa. Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya Mtibwa kimesema, Bodi…

Read More

TAMISEMI WAKUTANA NA SHIRIKA LA GOOD NEIGHBORS TANZANIA

Na OR TAMISEMI, DODOMA Mkurugenzi wa Idara ya Afya, Lishe na Ustawi wa Jamii Ofisi ya Rais TAMISEMI Dkt. Rashid Mfaume amefanya mazungumzo na Shirika la Good neighbors Tanzania ambapo amewaasa kuendeleza mambo mazuri wanayoyafanya kupitia kazi zao hapa nchini. Dkt. Mfaume amewapongeza Shirika la Good neighbors ofisini kwake Jijini Dodoma leo tarehe 24.05.2024 kwa…

Read More

Ma-DED vinara kulalamikiwa | Mwananchi

Dar es Salaam. Sekretarieti ya Maadili ya Uongozi wa Umma imesema wakurugenzi watendaji wa halmashauri (Ma-DED), watendaji wakuu wa taasisi na mameneja wanaongoza kwa kulalamikiwa na wananchi. Imeelezwa kiwango cha kulalamikiwa kwa makundi hayo ni asilimia 100. Hayo yamebainishwa jijini hapa jana wakati taasisi hiyo, ilipoeleza taarifa yake ya maadili kwa kipindi cha miaka mitano…

Read More

ONGEZEKO LA WAHITIMU LAZIDI KUPAA SUA

Na Farida Mangube, Morogoro Idadi ya Wahitimu katika Mahafali ya katikati ya mwaka kwa masomo katika Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) imeongezeka kutoka Wahitimu 274 kwa mwaka 2023 hadi 777 kwa mwaka 2024 ambapo kati ya hao watunukiwa wanawake ni 284 sawa na asilimia 36.5 ya wahitimu wote. Amebainisha hayo Makamu wa Mkuu…

Read More

Mugalu afichua kinachoitesa Simba | Mwanaspoti

KIKOSI cha Simba kipo jijini Arusha na kesho jioni kitashuka  katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid kuikabili KMC katika pambano la Ligi Kuu Bara, huku straika wa zamani wa Wekundu hao, Chris Mugalu akivunja ukimya na kufichua kitu kinachowatafuna kwa mitatu mfululizo sasa. Mugalu aliyeichezea Simba kwa misimu miwili kuanzia 2020-2022 na kutwaa matatu matatu tofauti…

Read More