Serikali imefungua milango kusaidia watu watakaoshindwa kulea watoto

Dodoma. Serikali imefungua milango kwa Watanzania wanaokabiliwa na changamoto ya kulea watoto wao, ikiwataka kuwapeleka kwa utaratibu maalum ili waweze kupokelewa na kulelewa badala ya kuwatelekeza mitaani au kuwatupa. Mpango huo unalenga kuwahudumia wanandoa waliofarakana pamoja na wazazi waliotelekezwa na wenza wao katika suala la matunzo ya watoto. Hata hivyo, mpango huo umeweka ahueni kwa…

Read More

Mradi wa maji kunufaisha wakazi 12,000 Magu

Magu. Wakazi 12,000 wa Kijiji cha Kabila wilayani Magu, Mwanza wataanza kunufaika na mradi wa maji uliotekelezwa na kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) na shirika lisilo la kiserikali la (AFRIcai), ikiwa ni jitihada za kuwapelekea maji safi na salama wananchi wa eneo hilo. Mradi huo wenye thamani ya Sh215 milioni, unahusisha ufungaji wa pampu…

Read More