Sheikh Hasina akabiliwa na shtaka la mauaji – DW – 13.08.2024

Wakili wa mlalamikaji katika kesi hiyo, Anwarul Islam, amesema kuwa mahakama kuu mjini Dhakar imeagiza uchunguzi kufanyika kubainisha jukumu la Hasina katika mauaji ya Saeed. Soma pia:Maandamano ya wanafunzi Bangladesh yawalazimisha Jaji Mkuu na Gavana wa Benki Kuu kujiuzulu Kesi hiyo iliyowasilishwa na Amir Hamza ilikubaliwa na mahakama hiyo baada ya kusikilizwa. Islam ameongeza kuwa…

Read More

Gets Program kurudi upya WPL

KOCHA wa Gets Program iliyopanda daraja msimu huu, Aristides Ngowi licha ya kuwa na wachezaji wengi vijana ambao hawana uzoefu na ligi, lakini wanapambana jambo linalowapa motisha ya kujipanga upya kipindi hiki cha mapumziko. Timu hiyo haikuanza vyema ligi ikipitia changamoto ya ukata uliosababisha baadhi ya wachezaji kutimka kambini na kutafuta changamoto sehemu mbalimbali. Wachezaji…

Read More

Babu aliyehukumiwa miaka 30 kwa kumbaka mjukuu, aachiwa huru

Arusha. Mahakama Kuu Kanda ya Sumbawanga, imemuachia huru babu (ambaye kwa sababu za kimaadili na kisheria zinazotaka mwathirika asitambuliwe kwa namna yoyote, tunahifadhi jina lake), aliyehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kwa madai ya kumbaka mjukuu wake. Mkazi huyo wa eneo la Kantalamba Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa, alidaiwa kumbaka mjukuu wake mwenye umri wa…

Read More

Wenye umri mkubwa yamewakuta Umitashumta

KAMA ulidhani ishu ya udanganyifu wa umri ipo katika ngazi ya juu tu ya soka la Tanzania, basi ulikuwa unajidanganya, unaambiwa zaidi ya wachezaji 10 wamerudishwa nyumbani baada ya kubainika kuwa na umri mkubwa katika mashindano ya Umoja wa Michezo na Taaluma kwa Shule za Msingi Tanzania (UMITASHUMTA) kwa Mkoa wa Dar es Salaam. Chujio…

Read More

Wajasiriamali kupewa mafunzo kuongeza ubora kwenye bidhaa

Morogoro. Jumla ya  waelimishaji  20 wa ujasiriamali kutoka Shirika la Viwango Tanzania (TBS) na Shirika la Kuhudumia Viwanda Vidogo (Sido), wamepewa mafunzo maalumu ya kuwajengea uwezo wa kufundisha wajasiriamali nchini. Lengo kuu la mafunzo hayo ni kuwawezesha wajasiriamali hao kuzalisha bidhaa zenye ubora ili kuziwezesha kuingia kwenye ushindani wa soko ndani na nje ya nchi….

Read More

Jeshi la Polisi Arusha lapigwa jeki pikipiki 20

Arusha. Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda ameahidi kwamba kabla ya kufikisha siku 100 za uongozi wake mkoani humo, atakuwa ametekeleza ahadi zake ikiwemo kuliwezesha Jeshi la Polisi mkoani humo kupata pikipiki 50, baisikeli 100 zinazotumia umeme  na magari 20. Amesema ataendelea kukusanya michango kutoka kwa wadau mbalimbali kufanikisha vitendea kazi hivyo na kuwa…

Read More

Ubingwa wa Yanga… | Mwanaspoti

KIKOSI cha Yanga usiku wa jana kilikuwa kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, visiwani Zanzibar kumalizana na Singida Black Stars katika mechi ya fainali ya Kombe la Shirikisho, ikiwa ni siku chache tu tangu itoke kubeba taji la Ligi Kuu lililochangiwa kwa kiasi kikubwa na watani wao, Simba. Ndio, Yanga ilitwaa ubingwa huo wa Ligi…

Read More

STAMICO Yasaini Mkataba na Ushirika wa Maisha Gemu Zanzibar kwa Usambazaji wa Nishati Safi ya Rafiki Briquettes

Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) limesaini mkataba na Ushirika wa Maisha Gemu ya Zanzibar ili kuwa wakala wa nishati safi na salama ya Rafiki Briquette visiwani humo. Halfa hiyo ilfanyika katika ofisi za STAMICO zilizopo Dar es Salaam leo tarehe 13 Disemba,2024. jijini Dar es Salaam Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Bw. Deusdedith Magala amesema, mkataba…

Read More