Dk Migiro aeleza ahadi ya CCM kwa wananchi

Unguja. Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Dk Asha-Rose Migiro, amesema chama hicho kitaendelea kuonesha mshikamano wa kisiasa na kijamii kwa wananchi katika kusimamia utekelezaji wa sera na ilani zake ili kuimarisha maendeleo ya Taifa. Amesema hayo leo, Septemba 8, 2025 wakati akizungumza na wanachama na wapenzi wa CCM katika mapokezi ya kumkaribisha…

Read More

Chaumma kubinafsisha sekta ya maji ikishika dola

Dodoma. Mgombea mwenza Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Devotha Minja amesema tatizo la maji nchini litakomeshwa chini ya Serikali ya chama hicho kwa sekta hiyo kubinafsishwa. Amesema ubinafsishaji ni sehemu ya kuondoa kero ya maji ambayo kwa muda mrefu Serikali chini ya Chama cha Mapinduzi (CCM) imeshindwa kuwapatia huduma ya uhakika Watanzania. Mgombea mwenza…

Read More

WAANDISHI WA HABARI SHINYANGA WAKUMBUSHWA WAJIBU WAO KATIKA ULINZI WA HAKI ZA BINADAMU

    Kamishna wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB), Nyanda Shuli, akizungumza wakati akifungua mafunzo kwa waandishi wa habari Mkoa wa Shinyanga kuhusu haki na wajibu wao katika kipindi cha uchaguzi.  Na Kadama Malunde – Shinyanga Waandishi wa habari mkoani Shinyanga wametakiwa kuzingatia weledi, maadili na kutokuegemea upande wowote wakati wa kuripoti…

Read More

Simba kuna sapraizi | Mwanaspoti

UKIWEKA kando kile kilichotokea usiku wa jana pale kwenye Dimba la Obed Itani Chilume lililopo Francistown, Botswana, Simba imewaandalia sapraizi mashabiki wake jijini Dar es Salaam ikiwa ni kuwafuta machozi baada ya kupigwa katika Ngao ya Jamii dhidi ya Yanga. Sapraizi hiyo ni katika mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya awali…

Read More

Samia ataka Bahi, Manyoni wajiandae kutumia fursa za SGR

Manyoni. Mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amewataka wananchi wa Bahi mkoani Dodoma na Manyoni mkoani Singida kujiandaa kunufaika na fursa zitakazoletwa na mradi wa reli ya kisasa (SGR) itakayopita katika maeneo yao. Samia ametoa wito huo kwa nyakati tofauti alipotembelea majimbo ya Bahi na Manyoni, ikiwa ni mwendelezo wa mikutano…

Read More

MGOMBEA URAIS CCM DK.SAMIA AAHIDI SERIKALII KUJENGA MACHINJIO BORA,MAJOSHO

Na Said Mwishehe,Lindi  MGOMBEA urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amesema katika miaka mitano ijayo Serikali itakwenda kujenga majosho na machinjio bora kwa mifugo ili nyama ya Tanzania iwe yenye viwango kutambulika maeneo mbalimbali duniani. Akizungumza na maelfu ya wananchi wa Jimbo la Mchinga mkoani Lindi Dk.Samia ametumia nafasi hiyo kuelezea…

Read More