TARURA YAANZA KUREJESHA MIUNDOMBINU YA BARABARA ILIYOHARIBIWA NA MVUA – MALINYI

Na Mwandishi Wetu, Malinyi Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imeanza utekelezaji wa agizo la Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Mhe. Mohamed Mchengerwa la kurekebisha haraka barabara zilizokatika wilayani Malinyi ili kurejesha huduma kwa wananchi. Naibu Katibu Mkuu anayesimamia miundombinu OR-TAMISEMI, Mhandisi Rogatus Mativila amefika eneo lililoathiriwa na mvua na…

Read More

Kilichojificha mauaji ya Penina Goba

Dar es Salaam. Mauaji ya Penina Method, mkazi wa Goba jijini Dar es Salaam yanaongeza orodha ya matukio ya wenza kuuawa kutokana na kinachoelezwa kuwa, wivu wa mapenzi.  Penina (27) ameuawa kwa kukatwa na kitu chenye ncha kali kinachodhaniwa kuwa panga chanzo kikidaiwa ni wivu wa mapenzi. Tukio hilo linalodaiwa kutendwa na mpenzi wake Joseph…

Read More

RC PWANI :WANYE VIWANDA PWANI TUMIENI WAANDISHI WA MKOA

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Alhaji Abubakari Kunenge  akisisitiza jambo katika mkutano  huoKamanda  wa Jeshi la Zimamoto Mkoa  wa Pwani Jennifer Shirima akitoa mada   kwa waandishi wa habari  na wadau wa habari kuhusu umuhimu  wa kuwahi kutoa taarifa za majanga ya moto na ajali  pindi zinapotokea. Baadhi ya waandishi wa habari Mkoa wa Pwani wakiwa…

Read More

Gamondi ashindwa kujizuia kwa Maxi 

KOCHA wa Yanga, Miguel Gamondi ameshindwa kujizuia kwa kumtaja kiungo Maxi Nzengeli, kuwa ni miongoni mwa wachezaji waliokibeba kikosi hicho msimu huu, tofauti na mitazamo ya wengi. Maxi alisajiliwa na Yanga msimu huu akitokea AS Maniema Union ya DR Congo na kuwa mmoja wa nyota walioshiriki kwa kiasi kikubwa kuiwezesha timu hiyo kutetea ubingwa wa…

Read More

Kigogo TFF amaliza utata ishu ya Inonga

SAA chache tangu beki wa kati wa Simba, Henock Inonga kufunguka kwamba mkataba alionao na klabu hiyo unamalizika mwishoni mwa msimu huu, huku mabosi wa Msimbazi wakimkomalia kwamba bado ni mali yao hadi mwakani, lakini kigogo mmoja wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) ameamua kumaliza utata wa jambo hilo. Inonga aliyesajiliwa na Simba misimu mitatu…

Read More

Majeruhi mlipuko wa Mtibwa wafariki dunia, vifo vyafikia 13

Morogoro. Idadi ya watu waliofariki dunia baada ya kupasuka bomba la kusafirisha mvuke wa joto kwenye kiwanda cha kuzalisha sukari cha Mtibwa Mvomero mkoani hapa, imeongezeka na kufikia 13. Majeruhi hao waliokuwa wakitibiwa  Hospitali ya Benjamini Mkapa Dodoma baada ya kupatiwa rufaa jana kutoka Hospitali ya Turiani, wamefariki dunia. Akizungumza kwa njia ya simu na…

Read More