WAZIRI MKUU AZINDUA ALBINO MOBILE APP

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa amezindua ‘Albino Mobile App’ ambayo ni program ya simu janja itakayowezasha usajili na ukusanyaji wa taarifa za watu wenye Ualbino na wenye Ulemavu kwa njia ya kidigitali. Aidha, amesema Mfumo wa Albino Mobile App ni sehemu ya Mfumo wa Kitaifa wa Taarifa za Watu…

Read More

Dk. Biteko kushiriki uapisho wa Rais mpya Botswana

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko anaiwakilisha Serikali katika sherehe za uapisho wa Rais Mteule wa Botswana Gideon Duma Boko zitakazofanyika Katika Uwanja wa Taifa wa nchi hiyo Novemba 8, 2024. Akiwasili katika Uwanja wa ndege wa Gaborone, Dk. Biteko amepokelewa na Katibu Mkuu wa Vijana,…

Read More

MBUNGE BONNAH ACHARUKA, ATAKA KUFUNGULIWA MARAMOJA NJIA ILIYOFUNGWA NA MFANYABISHARA WA KITUO CHA MAFUTA DAR

 MBUNGE wa Jimbo la Segerea Bonnah Kamoli,  amesema yuko  tayari kutoa fedha zake  kugharamia uondoaji  mawe  makubwa  yaliyotumika na mfanyabiashara mmoja anayemiliki kituo cha mafuta kufunga  njia  na kusababisha  adha kubwa kwa wananchi kando ya daraja la juu linalovuka Reli ya  SGR,  Uwanja wa Ndege, Kata ya Kipawa, jijini Dar es Salaam. Aidha  mfanyabiashara  huyo…

Read More

Dk Nchimbi atoa maagizo kupunguza tatizo la ajira Tanzania

Manyoni. Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amezitaka halmashauri zote nchini kuwatambua vijana wasomi kwenye maeneo yao na kuwashirikisha kwenye miradi mbalimbali ya maendeleo. Mbali na kuwatambua, wawaunganishe kwenye vikundi kutokana na taaluma zao kisha  wawapatie mikopo wanayoitoa ya asilimia 10 kwa ajili  ya wanawake, wenye ulemavu na vijana ili wazitumie…

Read More

Watafiti Russia waleta ujuzi wa misitu nchini

Morogoro. Wataalamu wa misitu kutoka Russia wametembelea Taasisi ya Utafiti wa Misitu Tanzania (Tafori), ambapo wamejadiliana mambo mbalimbali ya kuitafiti yatayosaidia kuifanya sekta ya misitu nchini kuwa bora zaidi. Katika mazungumzo hayo yaliyowahusisha pia maofisa wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), wakiongozwa na kamishna wa uhifadhi, Profesa Dos Santos Silayo, watalaamu hao waliobobea…

Read More

ILANI YA CCM UCHAGUZI MKUU UJAO ITAKUWA NA MAJIBU YA CHANGAMOTO ZA VIJANA-WASIRA

Said Mwishehe,Michuzi TV-Kagera MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amesema kuwa Chama kinafahamu changamoto ambazo vijana wanakumbana nazo na kwamba Ilani ijayo ya Uchaguzi Mkuu 2025-2030, itakuja na majibu ya shida zao. Wasira ameyasema hayo leo Machi 22, 2025 alipokuwa akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika Kata ya Kemondo Wilaya ya…

Read More