RC BATILDA AWATAKA WAFANYABIASHARA KUTOA USHIRIKIANO KWA TRA WANAPOFANYA ZOEZI LA KUTOA ELIMU YA KODI

Leo tarehe 24.05.2024 Mh. Mkuu wa Mkoa wa Tanga Dkt Batilda Buriani amewataka wafanyabiashara kutoa ushirikiano wa kutosha kwa timu ya uelimishaji kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ambayo inaendelea kutoa elimu ya kodi mlango kwa mlango kwa wafanyabiashara kwa kuwatembelea katika maeneo yao ya biashara. Amewaomba wafanyabiashara wafunguke kwa TRA ili waweze kusikilizwa na…

Read More

Nabi amshauri Aziz Ki, akimtaja Mayele

KOCHA wa zamani Yanga, Nasreddine Nabi amemshauri kinara wa mabao na kiungo mshambuliaji wa mabingwa hao wa Tanzania, StephaneAziz Ki juu ya mipango ya kuondoka klabuni hapo akikumbushia ishu ya Fiston Mayele aliyepo Pyramids ya Misri kwa sasa. Kumekuwapo kwa tetesi kwamba Aziz KI hajasaini mkataba huku akitakiwa na klabu kadhaa zikiwamo mbili za Afrika Kusini,…

Read More

DKT. KIRUSWA ATOA MAAGIZO MATANO

 • Kuongeza ushiriki wa watanzania katika Sekta ya Madini…  NAIBU  Waziri wa Madini, Mheshimiwa Dkt. Steven Kiruswa (Mb.) ametoa maelekezo matano kwa Tume na wadau wa Sekta ya Madini nchini. Akifunga  Jukwaa la Tatu la Utekelezaji wa Ushirikishwaji wa Watanzania katika Sekta ya Madini leo Mei 24, 2024 kwenye Ukumbi wa AICC jijini Arusha, Dkt….

Read More

Mgunda: Tupo tayari kwa vita ya KMC

KAIMU kocha mkuu wa Simba, Juma Mgunda amesema hana wasiwasi kwa mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya KMC, kwani tayari ameshaliandaa jeshi alililonalo kushuka Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, jijini hapa ili kuzisaka pointi tatu mbele ya wapinzani wao hao waliotoka nao sare ya 2-2 katika mechi ya kwanza. Mchezo huo utakaopigwa kesho unatazamiwa…

Read More

Waziri Slaa aeleza hatima nyumba za miradi ya NHC

Dodoma. Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imeliomba Bunge kuwaidhinishia Sh171.37 bilioni huku ikisema ujenzi wa mradi wa Kawe 711 utakamilika mwaka 2026. Waziri Jerry Silaa leo Mei 24, 2024 amewasilisha makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka 2024/25 na kusema mwaka 2023/2024 Shirika la Taifa la Nyumba (NHC), lilipanga kukamilisha ujenzi wa…

Read More

RC Mara apiga marufuku wasaidizi wake kusikiliza kero

Serengeti. Mkuu wa Mkoa wa Mara, Evans Mtambi amepiga marufuku tabia ya baadhi ya wasaidizi wake pamoja na  watumishi katika ofisi yake kuwasikiliza wananchi wenye kero na changamoto kwa niaba yake badala yake ameagiza kila mwananchi mwenye kero  anayefika ofisini kwake  aruhusiwe ili aweze kumskiliza yeye mwenyewe kwanza. Mtambi ametoa maagizo hayo leo Mei 24,2024…

Read More

Maujanja ya Yanga yanavyoitesa Simba

SIMBA SC inapambana kumaliza nafasi ya pili katika msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu. Simba imeukosa ubingwa wa ligi hiyo kwa msimu wa tatu mfululizo. Simba imeishia tena robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Simba imeishia hatua ya 16 bora katika Kombe la Shirikisho (FA). Mafanikio ya Simba hadi sasa kwa msimu…

Read More

Dkt.Jingu awafunda wasimamizi wa miradi wizara ya afya

Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Dkt. John Jingu amewapa somo Wasimamizi wa Miradi Wizara ya Afya juu ya umuhimu wa kuhakikisha Miradi ya Maendeleo inaimarisha Maisha na uasalama wa Wananchi kwa kukidhi mahitaji kijamii, na kuleta matokeo chanya yenye manufaa na tija kwa jamii na sio kuiangamiza. Dkt. John Jingu, amesema hayo Mei 23,…

Read More