KMC yatangaza kumrejesha Awesu akitokea Simba

Klabu ya KMC imetangaza kumrejesha kikosini kiungo Awesu Awesu aliyekuwa akiichezea timu hiyo msimu uliopita kabla ya kuelezwa amesajiliwa na Simba na kutangazwa Julai 17, 2024. Licha ya kutangazwa Simba kama mchezaji mpya atakayekitumikia kikosi hicho cha wekundu kwa msimu wa 2024\25, usajili huo ulikuwa na dosari, kwani KMC ilidai bado ana mkataba na wanakino…

Read More

TANZIA :CHARLES HILARY AFARIKI DUNIA

…….,…  Mkurugenzi wa Idara ya Mawasiliano Ikulu ya Zanzibar na Msemaji Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Charles Hilary afariki Dunia Alfajiri ya leo Mei 11, 2025.. Amefariki wakati akipatiwa matibabu katika hospital ya Muhimbili Mloganzila  Iliyopo Kibaha Mkoani Pwani Nchini Tanzania. Kipozi amebitisha kifo cha  mpendwa Charles Hilary.  Akizungumza kwa simu  Akiwa Dodoma…

Read More

Diarra, Camara watungiwa sheria mpya Fifa

BODI ya Kimataifa ya Vyama vya Soka (IFAB) inayojihusisha na utungaji wa sheria kwenye mchezo wa soka imefichua kwamba kuna jambo jipya linakuja hivipunde kwenye soka la dunia. Ni jambo ambalo huenda likawa na faida kubwa kwa mashabiki haswa wa Ligi za Afrika na nchi zingine zinazoendelea kwani watapata muda mwingi wa kuinjoyi soka kuliko…

Read More

Tawa yanadi fursa za uwekezaji maonesho ya Sabasaba

Na Beatus Maganja, Dar es Salaam. MAMLAKA ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) inatumia maonesho ya 48 ya kimataifa ya kibiashara yanayoendelea jijini Dar es Salaam kuhamasisha Watanzania wawekezaji na wageni kutoka mataifa mbalimbali kuwekeza katika maeneo inayoyasimamia. Akizungumza na wageni waliotembelea banda la TAWA lililopo ndani ya banda la Wizara ya Maliasili na Utalii,…

Read More

Hatima dhamana ya ‘Boni Yai’ kujulikana leo

Dar es Salaam. Hatima ya dhamana ya Meya wa zamani wa Ubungo jijini Dar es Salaam, Boniface Jacob, maarufu Boni Yai inatarajia kujulikana leo Jumatatu, Septemba 23, 2024, wakati Mahakama itakapotoa uamuzi wa maombi ya Serikali ya kuzuia dhamana yake. Boni Yai, mkazi wa Mbezi Msakuzi, Dar es Salaam, mfanyabiashara na mwanasiasa ambaye aliwahi kuwa…

Read More

Watanzania wapania mzunguko wa pili Uturuki

WATANZANIA wawili wanaokipiga Ligi Kuu ya Walemavu nchini Uturuki, Ramadhan Chomelo anayekipiga Konya Amputee na  Hebron Shedrack wa Sisli Yeditepe wamesema licha ya kuanza mzunguko wa kwanza vibaya, watahakikisha wa pili wanafanya vizuri. Nyota hao ndio pekee kutoka Tanzania wanaocheza soka la ulemavu kwa msimu wa tatu sasa tangu waliposajiliwa mwaka 2022. Akizungumza na Mwanaspoti,…

Read More

THRDC yalaani madai kukamatwa kina Lissu, waandishi wa habari

Dar es Salaam. Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC), umeungana na wadau wengine kulaani kukamatwa kwa viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na wanahabari wakielekea katika maadhimisho ya Siku ya Vijana Duniani jijini Mbeya. THRDC imetoa tamko hilo  leo Jumatatu, Agosti 12, 2024, ikidai takribani watu 300 wamekamatwa na Jeshi la…

Read More

Israel yasitisha vita Lebanon na kuendelea kuishambulia Gaza – DW – 27.11.2024

Baada ya mataifa ya Marekani, Ufaransa, Israel, Lebanon, China na Australia kupongeza makubaliano hayo, sasa imekuwa zamu ya nchi kadhaa za kiarabu kuelezea namna walivyopokea vyema makubailiano hayo ya usitishwaji mapigano kati ya Israel na Hezbollah huko Lebanon. Misri na Qatar zimeelezea matumaini yao kwamba hatua hiyo huenda ikawezesha kufikiwa kwa mpango mwingine wa kumaliza…

Read More