Hilika arudi na bao, JKU hahishikiki Zenji

BAADA ya kuzikosa mechi mbili za Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) kutokana na kuwa na majukumu ya timu ya taifa, Taifa Stars iliyokuwa Saudia kucheza mechi mbili za kirafiki, straika Ibrahim Hamad ‘Hilika’ amerejea katika ligi hiyo kwa kishindo baada ya jana kufunga bao la 15 msimu huu. Wakati Hilika alifunga bao hilo lililokuwa la pekee…

Read More

Serikali imedhamiria kuongeza ushiriki wa wananchi katika kujenga uchumi wa viwanda

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali imedhamiria kuongeza ushiriki wa wananchi katika kujenga uchumi wa viwanda, kuongeza kipato kwa wananchi wengi na kuleta uwiano mzuri wa kiuchumi na kijamii mijini na vijijini. Majaliwa ameyasema hayo Mei 23, 2024 kwenye ufunguzi wa Kongamano la Pili la Biashara na Uwekezaji baina ya Uganda na Tanzania, jijini, Dar-es-Salaam….

Read More

WAZIRI KAIRUKI AMPONGEZA RAIS SAMIA KUTOA MAGARI KWA KANDA ZOTE ZA TFS NCHINI, KUWA KINARA WA NISHATI SAFI AFRIKA

Na John Mapepele Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe Angellah Kairuki amempongeza Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa magari 22 kwa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) yatumike kwenye usimamizi wa rasilimali za misitu na nyuki nchini ili kuwakomboa wanawake waachane na nishati chafu za kuni na…

Read More

Dc Nsemwa ahamasisha michezo kwa watumishi

Mkuu wa wilaya ya Morogoro Mhe. Rebecca Nsemwa ametoa Wito kwa wafanyakazi kuwa na utamaduni wa Kufanya mazoezi mara kwahe mara Ili kuepukana na magonjwa yasiyo ambukiza. Dc Nsemwa amesema hayo wakati aliposhiriki bonanza la Michezo lililoandaliwaJeshi na (JWTZ) Shirika la Mzinga la Kikosi cha Mazao yaliyofanyika Katika viwanja vya shirika hilo Dc Nsemwa amesema…

Read More

Msimu wa mvua ukiisha, madalali watajwa kupanda bei ya mbogamboga

Dar/mikoani. Wakati msimu wa mvua ukimalizika ukitajwa kuwa chanzo cha baadhi ya bidhaa za mbogamboga kupanda bei sokoni, kumeibuka sababu mpya madalali na walanguzi wa mbolea wakitajwa. Ingawa baadhi ya bidhaa za viungo na mbogamboga zimeanza kushuka bei, wachuuzi wanasema walanguzi wa mbolea na madalali wasipodhibitiwa hali inaweza kuwa mbaya. Katika masoko yaliyofikiwa na Mwananchi…

Read More

RC Morogoro awapongeza wauguzi kwa utendaji kazi

Katibu tawala mkoa wa Morogoro Dokta Mussa Ally Mussa amesema licha ya kukumbana na Changamoto mbalimbali lakini wamekua wakitoa huduma Bora Kwa wagonjwa ambapo amewataka kuepukana na vitendo viovu vinavyoweza kuwaharibika kazi ikiwemo rushwa ,dharau na ligha mbaya. Dokta Mussa ameyasema hayo katika maadhimisho ya siku ya wauguzi Duniani ambapo kwa Mkoa Morogoro yamefanyika Morogoro…

Read More

Wakulima Kising’a walia kukosa intaneti

Iringa. Kama hujafanya mawasiliano ikiwamo kuaga ndugu, jamaa na marafiki kabla ya kufika Kijiji cha Kising’a wilayani Kilolo, ujue ukifika huko simu yako haitakuwa na kazi. Jambo hili ndilo linalowafanya wakulima kulia kwa kukosekana mitandao wa intaneti jambo linalowafanya waone kama wanaishi kisiwani wakiwa hawajui mabadiliko ya bei za mazao baada ya mavuno. Kising’a wanalima…

Read More

Dc Mkinga awataka watendaji kutumia vizuri matokeo ya sensa kwenye kupanga ujenzi wa miradi kwenye maeneo yao.

Mkuu wa wilaya ya Mkinga Gilbert Kalima amewataka viongozi wa serikali za mitaa,kata,tarafa na wilaya kuhakikisha wanatumia matokeo ya sensa katika kupanga mipango endelevu ya kuwaletea maendelo kwenye maeneo yao. Kalima ameyasema hayo kwenye mafunzo ya usambazaji na matumizi ya matokeo ya Sensa ya watu na makazi,kwa viongozi na watendaji wa wilaya ya Mkinga mkoani…

Read More