
Wezi walioniibia warejesha vitu wakilia kilio cha ajabu!
Vijana katika kutafuta maisha tunapitia mambo mengi sana, hadi unaona mtu anafanikiwa kimaisha sio jambo rahisi, unapaswa kumpongeza maana amepitia mambo mengi sana. Jina langu ni Alen kutokea Dar es Salaam, nimeajiriwa katika kampuni ya Ulinzi, ni kazi ambayo ina changamoto sana lakini nashukuru ndio hasa inaendesha maisha yangu hadi kuniondoa katika maisha ya umasikini….