Ugonjwa wa vikope watesa Pwani

Kibaha. Watu 1,627 waliokutwa na ugonjwa wa vikope kwenye halmashauri tatu za Mkoa wa Pwani wameendelea kupata matibabu ili kuepuka upofu. Idadi hiyo imebainika kufuatia utafiti uliofanywa na Wizara ya Afya ikishirikiana na  taasisi isiyokuwa ya kiserikali ya Sightsavers yenye makao yake makuu nchini Uingereza. Hayo yamebainishwa na Mganga Mkuu wa mkoa wa Pwani  Dk…

Read More

BENKI ZAJIPANGA KUFUNGUA TAWI MICHEWENI ZANZIBAR

Na. Saidina Msangi, WF, Dodoma. Serikali imesema kuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imetoa idhini kwa Benki ya PBZ kufungua tawi katika eneo la Konde lililopo katika wilaya ya micheweni na matayarisho ya kufungua tawi hilo yanaendelea. Hayo yameelezwa bungeni, jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Fedha Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb), akijibu swali la…

Read More

Dabo aitaka Ligi ya Mabingwa Afrika

LICHA ya upinzani mkali walionao kutoka kwa Simba SC ya Juma Mgunda, kocha wa Azam FC, Youssouf Dabo anaamini vijana wake wanaweza kupambana katika michezo miwili iliyosalia katika ligi dhidi ya Kagera Sugar na Geita Gold ili kuvuna pointi sita kwa ajili ya kukamilisha mpango wa kupata tiketi ya msimu ujao wa 2024/25 kucheza Ligi…

Read More

TANROADS kuweka kambi barabara ya Kiranjeranje-Ruangwa kurejesha mawasiliano

Huenda Adha ya usafiri na usafirishaji bidhaa inayowakabili wananchi wanaotumia barabara ya Kiranjeranje kwenda Ruangwa ikafikia tamati baada ya Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) mkoa wa Lindi kutangaza kutia kambi eneo hilo ili kuhakikisha njia inapitika. kambi hiyo inalenga kuondoa taabu wanayokutana nayo wananchi kwa sasa katika usafirishaji wa bidhaa wanazozalisha na hata wasizozalisha kutokana…

Read More

IGP Wambura ataja vigezo Polisi Tanzania kuwa jeshi bora

Mwanza. Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Camilius Wambura amesema anaamini ipo siku jeshi hilo litakuwa jeshi bora duniani, huku akitaja vigezo vitatu vitakavyolifanya kufikia lengo hilo. Wambura ametoa kauli hiyo leo Ijumaa Mei 24, 2024, wakati wa hafla ya kuwavisha nishani maofisa, wakaguzi na watendaji 574 wa jeshi hilo mikoa ya Kanda ya…

Read More

Naibu Spika Zungu auliza swali kwa mara ya kwanza

Dodoma. Naibu Spika wa Bunge, Mussa Zungu ameshauri Serikali kutumia kipengele cha dharura katika Sheria ya Manunuzi ya Umma, ili kuharakisha mchakato wa barabara zilizoharibiwa na mvua kwenye majiji ikiwemo jiji la Dar es Salaam. Hii ni mara ya kwanza kwa Zungu kuuliza swali akiwa katika kiti chake cha ubunge tangu alipochaguliwa kushika nafasi hiyo….

Read More