Maswala muhimu ya hali ya hewa – maswala ya ulimwengu

Kutoka kwa vijidudu vya zamani kuamka katika kuyeyuka kwa glasi hadi uchafuzi wa sumu uliotolewa na mafuriko, hatari hizo haziko mbali tena au nadharia. Wako hapa, na wanakua. Frontiers Ripoti 2025iliyotolewa na Programu ya Mazingira ya UN (Unep), inaangazia maeneo manne muhimu ambapo uharibifu wa mazingira unaingiliana na hatari ya wanadamu: uchafuzi wa urithi, vijidudu…

Read More

WITO WA RAIS SAMIA WA KUONGEZA UZALISHAJI WA KILIMO GAIRO, ISHARA YA KUKUA KWA UCHUMI – MWANAHARAKATI MZALENDO

Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa ahadi kubwa kwa wakazi wa Wilaya ya Gairo, akilenga kuboresha miundombinu na huduma za kijamii. Baada ya kuzindua Hospitali ya Wilaya ya Gairo, Rais Samia alieleza kuwa serikali imejizatiti kuboresha miundombinu ya umeme na maji. Kwa mfano, kituo kidogo cha umeme kilichojengwa Kongwa kitasambaza umeme hadi Gairo, na serikali…

Read More

Serikali yaachia Sh254 bilioni kulipa makandarasi

Dar es Salaam. Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amesema Serikali imelipa takribani Sh254 bilioni ndani ya miezi miwili kwa wakandarasi mbalimbali wanaotekeleza miradi ya barabara na madaraja nchini. Kufanyika kwa malipo hayo kwa mujibu wa Ulega ni utejkelezwaji wa maelekezo ya Rais Samia Suluhu Hassan aliyetaka makandarasi wote wanaotekeleza kazi mbalimbali walipwe. Hata hivyo, mapema…

Read More

WAFANYABIASHARA WA KIKOREA WAADHIMISHA SIKU YA BIASHARA YA KOREA WAMPONGEZA RAIS DKT. SAMIA

Mkurugenzi wa Tantrade, Latifa Khamis akizungumza wakati wa Maadhimisho ya siku ya Biashara ya Korea katika Viwanja vya Maonesho ya Kimataifa ya Biashara maalufu kama Saba saba.yanayoendelea kufanyika jijini Dar es Salaam. Mtafiti Mwandamizi Na Mshauri wa Masuala ya Siasa na Uchumi kutoka Ubalozi wa Korea hapa nchini, Hyunseok Jeon akizungumza na Waandishi wa habari…

Read More