KIMENYA: Miaka 11 Prisons, mafanikio bila majuto

MAISHA ya wanasoka wengi yana historia ndefu. Wapo wanaoanza kwenye akademi za soka, wanaojikuta wakianza timu za mtaani na wanaoanzia shule na kutokana na vipaji vyao wanaibuka na kuwa nyota wakubwa. Hata hivyo, wengi wanasema vipaji vyao ni tangu utotoni. Ni kweli, vipaji vingi huonekana tangu utotoni na kinapoendelezwa ndio kinakwenda kubadilisha maisha ya mchezaji…

Read More

Cassie avunja ukimya baada ya kutolewa kwa video inayoonyesha kushambuliwa na P Diddy hotelini

Cassie Ventura azungumza hadharani kwa mara ya kwanza tangu kutolewa kwa video kutoka 2016 ikimuonyesha mpenzi wake wa wakati huo Sean “Diddy” Combs akimshambulia ndani ya hoteli. “Asante kwa upendo na usaidizi wote kutoka kwa familia yangu, marafiki, wageni na wale ambao bado sijakutana nao,” Ventura aliandika kwenye Instagram Alhamisi. “Kumiminika kwa upendo kumeunda nafasi…

Read More

Wabunge wacharuka kukatika kwa umeme

TATIZO la kukatika kwa umeme kila mara katika maeneo mbalimbali ya nchi limewaamsha wabunge ambao kwa nyakati tofauti wameibana Serikali bungeni na kuitaka kueleza mikakati ya kumaliza changamoto hiyo. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Hayo yamejiri baada ya Mbunge wa Kilombero Abubakar Asenga (CCM) katika swali lake la msingi kuitaka Serikali ieleze lini itamaliza mgao…

Read More

Motsepe atua Zanzibar kushuhudia fainali ASFC

Rais wa Shirikisho la Soka Afrika (Caf), Patrice Motsepe ametua Zanzibar leo kushuhudia fainali za mashindano ya African Schools Football Championship Kwenye Uwanja wa Amaan leo. Motsepe ambaye kwa mara ya mwisho alitua hapa nchini mwaka jana kwenye ufunguzi wa michuano mipya ya African Football League kati ya Simba na Al Ahly amepokelewa na mwenyeji…

Read More

Viwanja 18,840 vyapangwa Songea na mradi wa LTIP

Takribani viwanja 18,840 vimepangwa katika vijiji 7 ambavyo ni Peramiho A, Nguvumoja, Peramiho B, Lundusi, Morogoro, Maposeni na Parangu ambapo lengo la awali lilikuwa ni utoaji wa hatimiliki 10,000 katika Halmashauri ya Wilaya ya Songea. Halmashauri ya Wilaya ya Songea imeweza kuzidi lengo lililopangwa kwa kuwa wananchi wameupokea mradi na kutambua umuhimu wa maeneo yao…

Read More

NAMANGA SEC. YAFAIDIKA NA JENGO JIPYA LA BWENI CHINI YA UDHAMINI WA LSF KUPITIA SERIKALI YA LUXEMBURG

Namanga, Tanzania – Mei 23, 2024: Shule ya Sekondari ya Namanga leo imezindua kwa fahari jengo lake jipya la bweni, chini ya ufadhili wa Legal Services Facility (LSF) na North-South Cooperation kutoka Luxemburg. Msaada huu unalenga kuboresha miundombinu ya shule, kuwawezesha wanafunzi, hasa wasichana, kupata haki yao ya kupata elimu bora na kuwapa mazingira salama…

Read More