ZAIDI YA WAFANYABIASHARA 100 KUHUDHURIA JUKWAA LA BIASHARA NA UWEKEZAJI NCHINI ISRAEL

Na Pamela Mollel,Arusha Zaidi yawafanyabiashara na wajasiriamali 100 kutoka nchini wanatarajia kuhudhuria jukwaa maalumu la kimataifa linalohusu maswala ya uwekezaji nchini Israel kwa ajili kubadilishana uzoefu na fursa za miradi ya uwekezaji zinazoweza kutekezwa na wataalamu hao katoka nchi hizo mbili. Wafanyabiashara hao wanatarajia kukutana katika mji wa Tel-aviv nchini Israel june 8 hadi 14,…

Read More

Lala salama Championship ya jasho na damu

Ni fursa nzuri kwa Pamba kumaliza unyonge wa miaka 22 wa kukaa bila kushiriki Ligi Kuu itakapokabiliana na Mbuni FC kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid mjini Arusha kuanzia saa 10 jioni, leo. Ushindi katika mechi hiyo utaifanya Pamba ambayo mara ya mwisho kushiriki Ligi Kuu 2002, kuchukua nafasi moja iliyobaki katika Ligi ya Championship…

Read More

Kombe la Muungano kuchezwa Pemba

Shirikisho la Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFF), limehamisha uwanja wa mashindano ya Kombe la Muungano na sasa yatachezwa katika Uwanja wa Gombani, Pemba. Awali, shirikisho hilo lilitangaza kuwa mashindano ya Kombe la Muungano yataanza keshokutwa, Jumatano, Aprili 23, 2025 katika Uwanja wa New Amaan Complex mjini Unguja kabla ya kutoa taarifa ya kuyahamishia Pemba. Uwanja…

Read More

Mbeya City, Bigman hakuna mbabe Championship

Pamoja na kuruhusu mashabiki kuingia bure katika Uwanja wa Sokoine,  mashabiki wa Mbeya City wameondoka uwanjani vichwa chini baada ya timu yao kulazimishwa sare ya mabao 2-2 na Bigman katika mchezo wa Ligi ya Championship.  Mchezo huo ambao ulikuwa wa ufunguzi, Mbeya City walikuwa wenyeji ambapo matarajio ya wadau na mashabiki wa timu hiyo jijini…

Read More

INEC YATANGAZA KUANZA MCHAKATO WA KUGAWA MAJIMBO

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) Mhe. Jaji (Rufaa) Jacobs Mwambegele akitangaza kuanza kwa mchakato wa kuchunguza na kugawa au kubadili majina ya majimbo ya uchaguzi ambapo Tume itapokea mapendekezo kuanzia Februari 27, 2025 hadi tarehe 26 Machi, 2025. Tume ilitangaza uamuzi huo muda mfupi baada ya kumalizika kwa kikao chake maalum kilichokutanba Mjini…

Read More

Jaji Mkuu, DPP watoa miongozo kesi za Plea Bargaining

SERIKALI imetunga kanuni na miongozo mipya kuhusu uendeshaji mashauri yanayomalizika kwa mshtakiwa kukiri kosa (Plea Bargaining), ili kumaliza changamoto zake zilizoibuliwa na wadau tangu utaratibu huo uanze kufanya kazi 2019. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea). Hayo yamebainishwa leo tarehe 22 Mei 2024, bungeni jijini Dodoma na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Dk. Eliezer Feleshi, baada…

Read More