Vijana elfu 45 kujikomboa kiuchumi KUPITIA ujasiriamali

Imeelezwa kuwa ukosefu wa ajira Kwa vijana ni chanzo Cha vijana wengi nchini kujiingiza katika vitendo vya kihalifu ikiwemo Wizi,utumiaji dawa za kulevya na magenge yasiyofaa na kupelekea wengine kuishia katika vifungo jela. Katika kukabiliana na changamoto hiyo ya ajira zaidi ya vijana elfu 40 kutoka Dar es Salaam,Morogoro na Zanzibar wanatarajia kunufaika na kujikomboa…

Read More

UNATAKA RAIS ASIWE DK. SAMIA HALAFU AWE NANI? ACHA USHAMBA

  Na Said Mwishehe,Michuzi TV KABLA ya kwenda mbali na kukumalizia bandle lako nataka nikwambie tu huu ni mwaka Uchaguzi Mkuu ikifika Oktoba 29,2025 tunaenda KUTIKI kwa mgombea Urais kwa tiketi ya CCM ,Rais Dk.Samia Suluhu Hassan.  Ndio hivyo unakunja sura itakusaidia nini? kunjua sura ndungu yangu maisha yenyewe ndio haya haya. Sawa tufanye hutaki kumpa…

Read More

EQUITY YAWEKEZA KATIKA ELIMU YA MAWAKALA

Benki ya Equity imesema zaidi ya asilimia 80 ya miamala yake inafanyika kidigitali, hatua inayodhihirisha kasi ya ukuaji wa teknolojia katika sekta ya fedha,huduma hizo zinajumuisha mfumo wa uwakala ambao umeendelea kuwa njia kuu ya kuwafikishia wananchi huduma za kibenki bila kulazimika kufika kwenye matawi ya benki. Akizungumza jijini Dar es Salaam katika Jukwaa la…

Read More

BALOZI NCHIMBI AONGOZA WAOMBOLEZAJI KUMUAGA MZEE MONGELLA

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi ameongoza mamia ya waombolezaji, katika utoaji wa heshima za mwisho na hatimae mazishi ya Mzee Silvin Ibengwe Emmanuel Mongella, mwenza wa mmoja wa viongozi waandamizi wastaafu nchini, Bi. Getrude Mongella, leo Jumamosi tarehe 7 Juni 2025, katika Kijiji cha Kabusungu, Ilemela, mkoani Mwanza….

Read More

Mageuzi yalivyotengeneza faida kwa kampuni zenye hali mbaya

Dar es Salaam. Mageuzi yaliyofanyika ndani ya mashirika ya umma ikiwamo kuunganisha na kufuta mengine, imetajwa kuwa na matokeo chanya kiasi cha kuongeza gawio litakalotolewa kwa Serikali. Hadi sasa Ofisi ya Msajili wa Hazina imeshakusanya zaidi ya Sh900 bilioni huku ikitarajiwa kufikisha Sh1 trilioni kabla ya Juni 10 mwaka huu ambalo ndilo gawio litakalowasilishwa kwa…

Read More

Mwekezaji wa Kimarekani Atangaza Mpango ya Kujenga Hoteli ya Kisasa Hifadhi ya Serengeti, Atafuta Washirika wa Ndani.

Katika hatua inayolenga kubadili taswira ya utalii wa Tanzania, Kampuni ya Maendeleo Hospitality Ventures (MHV), inayoongozwa na kundi la wawekezaji wa Kimarekani, imetangaza mpango wake unaolenga kujenga hoteli ya kifahari yenye hadhi ya nyota tano katika Kijiji cha Robanda, karibu na Lango la Fort Ikoma la Hifadhi ya Taifa ya Serengeti. Mpango huu unalenga kuimarisha…

Read More