
Hizi hapa faida za uji wa kimea
Baadhi ya mbegu hizo ni jamii ya mikunde, mahindi, mtama, ulezi, uwele, choroko, maharage na nyingine.
Baadhi ya mbegu hizo ni jamii ya mikunde, mahindi, mtama, ulezi, uwele, choroko, maharage na nyingine.
Katika uchaguzi huo wa Julai 15 Kagame anatarajiwa kurefusha utawala wake wa mkono wa chuma wa miaka 24 kwenye taifa hilo la kanda ya Maziwa Makuu. Wanyarwanda takribani milioni 9 wameandikshwa kushiriki uchaguzi huo wa urais ambao kwa mara ya kwanza utafanyika sambamba na ule wa bunge. Akizungumza kwenye mkutano wa ufunguzi wa kampeni uliohudhuriwa…
Siha. Watumishi wawili wa Bodi ya Maji Magadini Makiwaru, Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro, wamesimamishwa kazi kwa tuhuma za kuwaunganishia huduma ya maji wananchi 63 kinyume cha utaratibu. Watumishi hao ambao ni mafundi wa bodi hiyo, wanadaiwa kuwaunganisha wananchi hao kwenye huduma ya maji bila kuwajumuisha kwenye mfumo wa malipo, jambo lililosababisha upotevu wa mapato…
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Septemba 28, ameshiriki katika mbio za hisani za Saifee Marathon zilizoanzia na kuishia katika viwanja vya green park Oysterbay, jijini Dar es Salaam. Lengo la marathon hizo ni kuhamasisha jamii kuhusu umuhimu wa kuchukua hatua za kujikinga na magonjwa ya moyo na mishipa ya damu kwa kutoa elimu ya afya…
Dodoma. Wabunge wametaka mikakati ya ziada kukabiliana na tembo wanaovamia maeneo ya makazi, ikiwamo kuwavuna wanyama hao. Hatua hiyo ilitokana na maelekezo yaliyotolewa na Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson baada ya mbunge wa Mbarali, Bahati Ndingo kutoa hoja bungeni kuhusu wanyama hao Aprili 30, 2024. Mbunge huyo amesema tembo waliingia katika makazi ya watu…
Waziri wa madini Antony Mavunde amekanusha taarifa zilizokuwa zikisambaa zikidai kuwa jengo linalojengwa la billion tano halitatumika tena kufanya biashara ya madini ya Tanzanite pamoja na kuongeza thamani ya madini hayo huku akisema Rais ameongeza fedha ambazo zinaingia leo na litajengwa hadi kufikia asilimia 99 Mavunde akizungumza na wafanyabiashara wa madini,wachimbaji na wadau wengine wa…
Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Rc Ayoub Mohammed Mahamoud amekasirishwa na kukemea kwa tabia iliokisiri kwenye fukwa za Bahari za kusini na Zanzibar kwa Baadhi ya Ma Beach Boys kupora wake wa Watalii wanaoingia nchini kwa shughuli za kitalii jambo ambalo limekua likikasirishwa watalii waingia nchini Rc Ayoub ameyasema hayo kwenye semina ya waongoza…
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Ridhiwani Kikwete amekabidhi vifaa mtaji kwa vikundi vya Vijana na Watu wenye Ulemavu vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 90 kwa vikundi 16 vya vijana wa wilaya ya Sengerema. Akizungumza wakati wa kukabidhi vifaa hivyo leo Septemba 27, 2024,…
Na Mwandishi Wetu, JAB Tanzania imepiga hatua katika viwango vya kimataifa vya Uhuru wa Vyombo vya Habari, kwa kupanda kutoka nafasi ya 97 mwaka 2024 hadi nafasi ya 95 mwaka 2025. Kwa mujibu wa Ripoti ya Waandishi wa Habari Wasio na Mipaka (Reporters Without Borders – RSF) iliyotolewa tarehe 2 Mei 2025, licha ya Tanzania…
Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) na Shirika la Chakula na Kilimo (FAO) wamesema katika ripoti yao ya pamoja kwamba viwango vya njaa vinazidi kushuhudiwa huko Gaza kutokana na vikwazo vya uwasilishwaji wa misaada ya kibinadamu na kusambaratika kwa mfumo wa chakula vinavyochochewa na vita vya karibu miezi minane kati ya Israel na kundi…