
Tamasha la Utamaduni na Utalii kutimua vumbi Bariadi
Baadhi ya wapiga ngoma na waimbaji kutoka Makundi ya Wagika na Wagulu wakipasha ili kujiandaa na Tamasha la Utamaduni na Utalii Kanda ya Ziwa. Hatimaye Tamasha la Utamaduni na Utalii Kanda ya Ziwa – Lake Zone Cultural and Tourism Festival lililokuwa linasubiriwa kwa hamu sasa linatarajiwa kuanza rasmi kesho Julai 5, 2024 Tamasha hilo la…