Tamasha la Utamaduni na Utalii kutimua vumbi Bariadi

Baadhi ya wapiga ngoma na waimbaji kutoka Makundi ya Wagika na Wagulu wakipasha ili kujiandaa na Tamasha la Utamaduni na Utalii Kanda ya Ziwa. Hatimaye Tamasha la Utamaduni na Utalii Kanda ya Ziwa – Lake Zone Cultural and Tourism Festival lililokuwa linasubiriwa kwa hamu sasa linatarajiwa kuanza rasmi kesho Julai 5, 2024 Tamasha hilo la…

Read More

Sababu wenza kukanyagana miguu siku ya ndoa

Dar es Salaam. Ndoa ni muungano wa maisha kati ya wanandoa unaotarajiwa kudumu kwa muda mrefu, mara nyingi hadi kufikia uzeeni. Pamoja na agano hilo kufungwa kwa mujibu wa taratibu za kidini au kiserikali, huambatana na desturi na mila tofauti zinazoakisi urithi wa kijamii. Moja ya desturi zinazotajwa mara kwa mara ni kitendo cha wanandoa…

Read More

Mwili wa mwandishi aliyefariki ziara ya CCM wazikwa, mama azimia

Mbeya. Mama mzazi wa mwandishi Furaha Simchimba, aliyefariki dunia katika ajali iliyoua wanne, Yusta Mwaisakila amejikuta akipoteza fahamu kwa muda kwenye mazishi ya mwanaye, huku vilio na simanzi vikitawala wakati wa kumpumzisha marehemu huyo. Simchimba ni miongoni mwa watu  wanne waliofariki dunia Februari 25 katika ajali iliyohusisha gari la Serikali na basi la Kampuni ya…

Read More

DAKTARI MTANZANIA ASHINDA TUZO YA KIMATAIFA KWA KUTAMBUA MCHANGO WAKE

Mwandishi Wetu Daktari Bingwa wa Magongwa yasioambukizwa, Pro. Kaushik Ramary, amepata Tuzo ya Kimataifa, kwa kutambua mchango wake katika kuwasaidia jamii inayosumbuliwa na magonjwa yasioambukizwa na magonjwa mengine inchini Tanzania. “Kwa kweli tunajivunia sana Tuzo hii aliyopata Pro. Kaushik, Hii inathibitishi kujitoa kwake katika kuwasaidia jamii inayosumbaliw na matatizo mbalimbali ya afya,” kwa mujibu ya…

Read More