AKILI ZA KIJIWENI: Mtibwa Sugar ingeangalia tu namba

KUNA matumaini finyu kwa Mtibwa Sugar kusalia katika Ligi Kuu Tanzania Bara wakati huu ambao imebakiza raundi mbili kumalizika. Mabingwa mara mbili wa zamani wa taji la ligi hiyo, kwa sasa iko mkiani mwa msimamo na pointi 21 na hakuna uwezekano wa kubakia moja kwa moja kwenye ligi kwani hata ikishinda mechi mbili ilizobakiza haiwezi…

Read More

WAZIRI BASHUNGWA AFUNGUA MKUTANO WA MAFUNDI SANIFU TANZANIA

Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa,akizungumza  wakati akifungua Mkutano wa Sita wa Mafundi Sanifu Tanzania wa Mwaka 2024 ambao umeongozwa na Kauli mbiu “Matumizi ya Akili Mnemba kuongeza ufanisi: Kuimarisha Mafundi Sanifu kwa Changamoto zinazoibuka” leo Mei 23,2024 jijini Dodoma. Msajili wa Bodi ya ERB, Mhandisi Bernard Kavishe ,akizungumza  wakati wa Mkutano wa Sita wa Mafundi…

Read More

Miaka 63 ya Uhuru bila katiba ya wananchi

WAFUASI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na wanaharakati hivi karibuni wamekuwa wakifanya maandamano wakishinikiza kupatikana Katiba Mpya iliyotokana na wananchi wenyewe. Anaandika Elvan Stambuli… (endelea). Chama Cha Mapinduzi (CCM) hawataki na wameendeleza ubabe kwani kuanzia ya Uhuru Katiba ya mwaka 1961 (Tanganyika) hadi ya mwaka 1977, zimetokana na ubabe wa watawala na chama…

Read More

Afcon 2027 yaipaisha bajeti ya michezo

Hii ni bajeti ya fainali za Mataifa ya Afrika (Afcon) 2027 kwa Tanzania kuwa mwenyeji wa michuano hiyo. Hivyo ndivyo unaweza kusema baada Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo kuongezewa fedha kutoka Sh35.4 bilioni kwa mwaka wa fedha 2023/2024 hadi Sh285.3 bilioni kwa mwaka wa fedha 2024/2025. Bajeti hiyo kwa mwaka wa fedha 2024/2025, imewasilishwa…

Read More