Mtifuano wa Rais Ruto, Gachagua waanza upya

Nairobi. Mtifuano wa Rais William Ruto na aliyekuwa Naibu Rais, Rigathi Gachagua, ni kama umeanza upya baada ya kiongozi huyo wa nchi kutoa tuhuma nyingine dhidi ya Gachagua, ikiwamo madai ya malipo ya Sh10 bilioni. Gachagua, ambaye Oktoba mwaka jana aliondolewa na Bunge la Seneti kwenye nafasi ya Naibu Rais kutokana na tuhuma za ufisadi…

Read More

UN inataka mabadiliko ya vikwazo vya Amerika juu ya rapporteur maalum Francesca Albanese – Maswala ya Ulimwenguni

Wanataka uamuzi wa kubadilishwa, kuonya inaweza kudhoofisha mfumo mpana wa haki za binadamu wa kimataifa. Vizuizi vilitangazwa na Katibu wa Jimbo la Merika Marco Rubio Jumatano chini ya agizo la Utendaji wa Rais. Bwana Rubio alidai kuwa Bi. Albanese “alikuwa ameshirikiana moja kwa moja na Korti ya Jinai ya Kimataifa . Amerika na Israeli sio…

Read More

Asili Yaenda Mahakamani – Masuala ya Ulimwenguni

Mifumo ya mahakama inakuwa wahusika wakuu katika hatua za hali ya hewa. Credit: UNDP Maoni na Kanni Wignaraja (umoja wa mataifa) Jumatatu, Januari 13, 2025 Inter Press Service UMOJA WA MATAIFA, Jan 13 (IPS) – Hali inachukua msimamo huku vyumba vya mahakama duniani kote vikiwa viwanja vya kupigania haki za Dunia. Kuongezeka kwa kesi za…

Read More

Mjadala wa chimbuko la shikamoo, umuhimu wake

Maamkizi ya “shikamoo” ni sehemu muhimu ya tamaduni za Kiswahili na yanadhihirisha heshima na unyenyekevu, hasa kwa wazee au wale waliotutangulia kijamii. Katika jamii za Kiafrika, heshima kwa wakubwa ni msingi wa maadili, na shikamoo hutoa nafasi ya kudumisha uhusiano wa heshima na mshikamano wa kijamii. Hata hivyo, swali la iwapo ni lazima shikamoo ibaki…

Read More

Pacha ya Mnunka akitaka kiatu WPL

MSHAMBULIAJI wa Simba Queens, Jentrix Shikangwa amesema uwepo wa mashabiki uwanjani unawapa morali wachezaji kupambania timu hiyo. Mkenya huyo ni kinara wa mabao WPL akiweka kambani mabao 13 kwenye mechi 10, akifuatiwa na Stumai Abdallah wa JKT Queens mwenye nayo 10. Akizungumza na Mwanaspoti, Shikangwa alisema sababu ya timu hiyo kufanya vizuri inachangiwa na uwepo…

Read More