
Tanzania mwenyeji wa mkutano mkubwa wa Uvuvi barani Afrika (AFRICA SMALL SCALE FISHERIES SUMIT 2024)
Katika jitihada za dhati za Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kuhakikisha nchi inakuza uchumi wake, kupitia rasilimali ya maji iliyonayo almaarufu kama Uchumi wa Buluu, Wizara ya Mifugo na Uvuvi imeandaa mkutano mkubwa wa Uvuvi baraniAfrika (AFRICA SMALL SCALE FISHERIES SUMIT 2024) utak aohusisha mataifa mbalimbali ya Afrika, utakaofanyika Tanzania. Mkutano huu unalenga …