Falsafa ya 4R kuubeba uchaguzi wa Mbeya

Mbeya. Mbeya ni miongoni mwa mikoa 26, inayotarajiwa kufanya uchaguzi wa serikali za mitaa kwa ajili ya kuwapata wawakilishi wa wananchi ngazi ya vijiji, mitaa na vitongoji. Haki, usawa na amani ndiyo misingi inayotazamwa kufanikisha uchaguzi huo kwa mujibu wa Mkuu wa Mkoa huo, Juma Homera. Uchaguzi huo umepangwa kufanyika Novemba 27, 2024, ikiwa ni…

Read More

J3 ya mwisho 2024 kukupatia maokoto

  Je unajua kuwa unaweza kuibuka na zaidi ya Mamilioni ya pesa ukibashiri na Meridianbet Jumatatu ya mwisho ya mwaka 2024?. EPL na SERIE A leo zipo kwaajili yako. Ingia www.meridianbet.co.tz. SERIE A leo kitawaka haswa ambapo Como 1907 atamleta kwake US Lecce ambapo timu hizi zinafutana kwenye msimamo wa ligi. Yaani mwenyeji ni wa…

Read More

MTU WA MPIRA: Hili la Lawi ni kituko kingine

KUNA vitu Tanzania vinachekesha sana. Ni kama hili sakata la mchezaji Lameck Lawi, Simba na Coastal Union. Ni kichekesho. Kwa mara ya kwanza nimeona duniani timu inatangaza kuwa imemnunua mchezaji fulani halafu wale waliomuuza wanakataa. Yaani, Simba inasema imemnunua Lawi kutoka Coastal Union ya Tanga. Saa chache baadaye Wagosi wa Kaya wanasema hawajamalizana na Simba….

Read More

KIDO Balozi wa Kampeni ya USAID ya “Holela-Holela Itakukosti” Atinga kwenye Siku ya Nane Nane

Dkt. Salum Manyatta, Mkurugenzi Msaidizi wa Afya Moja kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu sehemu ya Afya Moja akiwa na KIDO wakijadili kuhusu kampeni ya “Holela Holela Itakukosti” inayolenga kupambana na Usugu wa Vimelea vya magonjwa dhidi ya Dawa (UVIDA) na magonjwa ya zuonotiki (magonjwa yanayoweza kuambukizwa kutoka kwa wanyama kwenda kwa binadamu) wakati wa maadhimisho…

Read More

Ecua deal done! Hersi athibitisha

MASHABIKI wa Yanga wana uhakika wa kutamba sasa, baada ya klabu yao kujihakikishia dili la kumnasa mshambuliaji raia wa Ivory Coast, Celestin Ecua ambaye atasaini mkataba wa miaka miwili na timu hiyo. Uhakika wa Yanga unatokana na bosi wao injinia Hersi Said kufanya umafia kuiwahi saini ya mshambuliaji huyo mwenye kasi akimalizana na klabu yake….

Read More

Serikali yawatangazia kiama waganga wa jadi

Dar es Salaam. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira na Watu wenye Ulemavu, Deogratias Ndejembi amewataka wakuu wa mikoa kufanya operesheni na kuwakamata waganga wa jadi wanaofanya shughuli hizo bila vibali. Amesema lengo ni kukomesha vitendo vya ukatili dhidi ya watu wenye ualbino, vinavyotajwa kuchochewa na ramli chonganishi zinazopigwa na waganga hao….

Read More