
MCHENGERWA AMEWASISITIZA WATUMISHI WA AFYA KUTOA HUDUMA KWA UPENDO
Mchengerwa Atoa Wito kwa Watumishi wa Afya Kuhudumia Wananchi kwa UpendoWaziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. Mohammed Mchengerwa, amewataka wataalamu wa sekta ya afya nchini kufanya kazi kwa weledi, kusikiliza wananchi na kuwahudumia kwa moyo wa huruma na upendo. Wito huo umetolewa leo, Agosti 22,…