Familia ya muuguzi aliyetoweka KCMC sasa kutumia taratibu za kimila kumsaka
Moshi. Wakati Jeshi la Polisi likisema linafuatilia mawasiliano ya mwisho na watu aliokuwa akiwasiliana nao Muuguzi wa KCMC, Lenga Masunga (38) aliyetoweka katika mazingira ya kutatanisha hivi karibuni, familia yake imesema itatumia taratibu zake za kimila kujua ndugu yao huyo yuko hai au amefariki dunia. Muuguzi huyo wa idara ya masikio, pua na koo (ENT),…
Washindi wa Picha za Jumuiya ya Pasifiki Waleta Athari za Mabadiliko ya Tabianchi kwenye Maisha – Masuala ya Ulimwenguni
Wanaoishi kwenye hekta 37 za ardhi, watu wa Anuta katika Visiwa vya Solomon wanategemea kabisa rasilimali zao za baharini kuishi. Ili kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa, wao hujenga kuta za bahari zinazozuia mawimbi yanayoingia wakati wa vimbunga au mafuriko makubwa, kulinda nyumba zao na mitumbwi ya uvuvi, ambayo ni mali muhimu zaidi kwenye…
RC aipa mbinu Mbeya City kurejea Ligi Kuu Bara, awaita wadau
Wakati Mbeya City ikiahidi kurejea Ligi Kuu Bara msimu ujao wa 2025/26, Mkuu wa mkoa huo, Juma Homera ametangaza mkakati kwa timu hiyo kuhakikisha inshinda mechi za nyumbani na kuwataka wadau na mashabiki kuungana kwa pamoja ili kufikia malengo. Mbeya City inajiandaa na Ligi ya Championship kwa msimu wa pili mfululizo na sasa matumaini yao…
Yanga yaichapa Ihefu, yaifuata Azam fainali Kombe la Shirikisho (FA)
YANGA imefanikiwa kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Ihefu FC katika mchezo wa nusu fainali ya Kombe la Shirikisho (FA) uliochezwa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini hapa na kutinga fainali. Ushindi huo uliopatikana kwa bao la Stephane Aziz Ki baada ya kumalizia pasi murua ya Pacome Zouzoua dakika ya 101, umeifanya Yanga…
FDH YAWANOA WATUMISHI SUMA JKT LUGHA YA ALAMA
KUTOKANA na changamoto ya mawasiliano iliyopo kwa watu wenye ulemavu hususani wasio sikia na wasioona katika taasisi mbalimbali zikiwemo za umma Shirika la kuhudumia watu wenye ulemavu (FDH) limetoa mafunzo ya lugha ya alama kwa watumishi wa Shirika la Uzalishaji mali la Suma JKT.Mafunzo hayo yatasaidia watumishi wa shirika hilo kutoa huduma kwa makundi yote…
JOTO LA UCHAGUZI LAANZA KUPANDA NYARI ATAJWA
Na Mwandishi wetu, Mirerani JOTO la uchaguzi limeanza kupanda kwenye baadhi ya majimbo katika mchakato wa ubunge na udiwani nchini kwani baadhi wameanza kutajwa tajwa sehemu tofauti. Ikiwa kipenga cha mchakato huo bado hakijapulizwa rasmi ila maeneo mbalimbali majina tofauti yameanza kutajwatajwa. Miongoni mwa wadau wa maendeleo wanaotajwa tajwa kuwania ubunge mwaka 2025 ni mfanyabiashara…
PIGABET YAWAZAWADIA WASHINDI KUPITIA KAMPENI ZA KILA WIKI
Dar es Salaam Kampuni ya michezo ya kubahatisha ya Pigabet imeendelea kuthibitisha dhamira yake ya kuwazawadia wateja wake kupitia kampeni kabambe zinazofanyika kila wiki kwa wateja nchini kote. Katika hafla ya hivi karibuni, Hemed Misonge, mhudumu kutoka Pigabet, aliungana na washindi wa promosheni hizo kwa kuwapatia zawadi nono zikiwemo: Smartphone Samsung Galaxy A26 5G kupitia…
Kicheko shule zikipewa vifaa vya intaneti ya bure Dodoma
Dodoma. Katika juhudi za kuishika mkono elimu ya Tanzania kupitia Teknolojia ya Habari na Masiliano (Tehama), shule 30 za sekondari jijini Dodoma zimenufaika na vifaa vya intaneti ya bure yenye kasi. Vifaa hivyo ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuimarisha elimu ya kidijitali vimetolewa na Kampuni ya Airtel Tanzania na Shirika la Umoja wa Mataifa…
Wachezea misitu, wanyooshewa kidole | Mwananchi
Dar es Salaam. Wakati takwimu zikionesha takriban hekta 460,000 za misitu zinapotea nchini kwa mwaka, wanaojihusisha na shughuli za uharibifu ikiwemo kukata miti wameonywa na kutakiwa kuacha tabia hiyo mara moja. Kupotea huko kunasababishwa na shughuli za kibinadamu ikiwemo uchomaji moto, ukataji miti kwa ajili ya kuchoma mkaa na mbao zinazofanywa na wenye nia ovu…