Washindi wa Picha za Jumuiya ya Pasifiki Waleta Athari za Mabadiliko ya Tabianchi kwenye Maisha – Masuala ya Ulimwenguni

Wanaoishi kwenye hekta 37 za ardhi, watu wa Anuta katika Visiwa vya Solomon wanategemea kabisa rasilimali zao za baharini kuishi. Ili kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa, wao hujenga kuta za bahari zinazozuia mawimbi yanayoingia wakati wa vimbunga au mafuriko makubwa, kulinda nyumba zao na mitumbwi ya uvuvi, ambayo ni mali muhimu zaidi kwenye…

Read More

FDH YAWANOA WATUMISHI SUMA JKT LUGHA YA ALAMA

KUTOKANA na changamoto ya mawasiliano iliyopo kwa watu wenye ulemavu hususani wasio sikia na wasioona katika taasisi mbalimbali zikiwemo za umma Shirika la kuhudumia watu wenye ulemavu (FDH) limetoa mafunzo ya lugha ya alama kwa watumishi wa Shirika la Uzalishaji mali la Suma JKT.Mafunzo hayo yatasaidia watumishi wa shirika hilo kutoa huduma kwa makundi yote…

Read More

JOTO LA UCHAGUZI LAANZA KUPANDA NYARI ATAJWA

Na Mwandishi wetu, Mirerani JOTO la uchaguzi limeanza kupanda kwenye baadhi ya majimbo katika mchakato wa ubunge na udiwani nchini kwani baadhi wameanza kutajwa tajwa sehemu tofauti. Ikiwa kipenga cha mchakato huo bado hakijapulizwa rasmi ila maeneo mbalimbali majina tofauti yameanza kutajwatajwa. Miongoni mwa wadau wa maendeleo wanaotajwa tajwa kuwania ubunge mwaka 2025 ni mfanyabiashara…

Read More

PIGABET YAWAZAWADIA WASHINDI KUPITIA KAMPENI ZA KILA WIKI

 Dar es Salaam  Kampuni ya michezo ya kubahatisha ya Pigabet imeendelea kuthibitisha dhamira yake ya kuwazawadia wateja wake kupitia kampeni kabambe zinazofanyika kila wiki kwa wateja nchini kote. Katika hafla ya hivi karibuni, Hemed Misonge, mhudumu kutoka Pigabet, aliungana na washindi wa promosheni hizo kwa kuwapatia zawadi nono zikiwemo: Smartphone Samsung Galaxy A26 5G kupitia…

Read More

Wachezea misitu, wanyooshewa kidole | Mwananchi

Dar es Salaam. Wakati takwimu zikionesha takriban hekta 460,000 za misitu zinapotea nchini kwa mwaka, wanaojihusisha na shughuli za uharibifu ikiwemo kukata miti wameonywa na kutakiwa kuacha tabia hiyo mara moja. Kupotea huko kunasababishwa na shughuli za kibinadamu ikiwemo uchomaji moto, ukataji miti kwa ajili ya kuchoma mkaa na mbao zinazofanywa na wenye nia ovu…

Read More