Mahafali ya 54 UDSM : Prof. Anangisye Awasihi Wahitimu Kuleta Mabadiliko na Kutatua Changamoto za Jamii

MAKAMU Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Prof. William Anangisye, amewahimiza wahitimu wa chuo hicho kutokaa wanasubiri ajira za serikalini pekee, bali pia kuangalia fursa nyingine za kiuchumi kwa kutumia maarifa na ujuzi waliyojifunza. Akizungumza katika Mahafali ya 54 ya chuo hicho, Prof. Anangisye alisema elimu inawainua wahitimu na kuongeza thamani yao katika…

Read More

Talaka ilivyoharibu ramani ya maisha ya Shuweri

Dar es Salaam. Alizaliwa akiwaona baba na mama wakiishi pamoja. Licha ya kuwa familia yao haikuwa na uwezo mkubwa kiuchumi, walikuwa na furaha na waliishi kwa upendo. Hali iliendelea hivyo hadi alipofikisha miaka saba ambapo wazazi wake walitengana na yeye na ndugu zake wengine kubaki na mama yao. Maisha yalianza kubadilika, baba hakuwa tena sehemu…

Read More

Kocha Prisons hali tete, aiwaza Coastal

Kocha Mkuu wa Tanzania Prisons, Ahmad Ally ameanza kuonja joto la jiwe kufuatia matokeo yasiyoridhisha anayoendelea kupata na kumuweka katika wakati mgumu. Ally ambaye alitua kikosini humo mwishoni mwa mwezi Oktoba akichukua nafasi ya mtangulizi wake, Fred Fe-lix ‘Minziro’ aliyesitishiwa mkataba kutokana na matokeo mabovu. Kocha huyo wa zamani wa KMC, alikuwa na mwanzo mzuri…

Read More

Chalamila achimba mkwara mzito Kariakoo, aapa kuwaonesha ‘show’

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amewathibitishia wafanyabiashara waliofungua maduka leo Jumatatu licha ya kuwepo kwa mgomo kwa baadhi yao, kwamba atakayejaribu kuwafanyia vurugu atamuonesha ‘show’. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). “Yule atakayemletea mkwara aliyekubali kufungua, naapa mbele ya Mwenyezi Mungu, hapo ndipo nitakapoonyesha ‘show’ nzima. Kwa sababu mtu anakubali kufungua na…

Read More

Vodacom M-Pesa, Vivo Energy Tanzania Washirikiana Kuchochea Malipo ya Kidijitali

Kampuni ya Vodacom Tanzania, inayoadhimisha miaka 25 ya kuwahudumia Watanzania, imetangaza ushirikiano rasmi na kampuni ya mafuta ya Vivo Energy Tanzania katika jitihada za kukuza na kuongeza matumizi ya malipo ya kidijitali kwa wateja wanaonunua mafuta katika vituo vyake vya Engen kote nchini Tanzania. Uzinduzi huu uliofanyika katika kituo cha mafuta cha Engen kilichopo Mikocheni,…

Read More

Hivi ndivyo Kariakoo ya saa 24 itakavyokuwa

Dar es Salaam. Zikiwa zimebaki siku 10 eneo la kibiashara Karikaoo jijini hapa kuanza kufanya kazi saa 24, wafanyabiashara wameeleza namna walivyojiandaa ukiwamo ushiriki katika ulinzi, usalama wao na wa wateja. Januari 30, 2025 akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake, Mkuu wa Mkoa Dar es Salam, Albert Chalamila alisema uzinduzi rasmi wa kufanyika biashara…

Read More