Kimenya fundi aliyedumu Prisons miaka 11

KAMA ilivyozoeleka kwa wachezaji wengi kuongelea historia zao na kusema walikuwa na vipaji tangu utotoni,wengine wakienda mbali zaidi na kusema wapo watu waliowaridhi katika familia zao ambao wanacheza au walicheza soka huko nyuma. Lakini hii ya aliyekuwa Mwanafunzi wa ‘ New Era’ iliyoko Tabora Mjini ambako alikwenda kwaajili ya kupata Elimu ya Kidato cha Tano,akiwa…

Read More

Serikali yaanika mikakati maandalizi AFCON 2027

Serikali imesema inaendelea kufanya mazungumzo na wadau pamoja na wamiliki wa hoteli kubwa kwa ajili ya kuboresha hoteli hizo ili ziweze kukidhi viwango na hatimaye kuhudumia ugeni wa Fainali za Mpira wa Miguu Barani Afrika (AFCON 2027). Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Katika mashindano hayo, Tanzania ni mwenyeji kwa kushirikiana na Kenya na Uganda baada…

Read More

Baraza la Usalama AU kuwakutanisha vigogo Tanzania

Dar es Salaam. Viongozi mbalimbali wakiwemo marais wastaafu wanatarajiwa kuhudhuria maadhimisho ya miaka 20 ya Baraza Usalama na Amani la Umoja wa Afrika, yatakayojadili pia kuhusu hali ya ulinzi na usalama barani humo. Miongoni mwa washiriki ni Waziri Mkuu wa zamani wa Chad, Moussa Faki Muhammad ambaye ni mwenyekiti wa kamisheni ya Umoja wa Afrika,…

Read More

WANANCHI WA KAGERA WAISHUKURU SERIKALI KUWAFIKIA

Na. Josephine Majula, WF- Kagera Wananchi wa Wilaya ya Bukoba mkoani Kagera wameishukuru Serikali ya Awamu ya Sita kupitia Wizara ya Fedha kwa kuwafikishia huduma ya elimu ya fedha itakayowakomboa kiuchumi na kuwaepusha na upotevu wa fedha. Shukrani hizo zimetolewa na wananchi hao baada ya kumalizika kwa semina ya elimu ya fedha iliyotolewa na Wizara…

Read More

Simulizi wanayokumbana nayo wanawake wauza ndizi mtaani

Moshi. Wakati baadhi ya watu wakiitazama biashara ya ndizi mbivu mitaani kama ya kimasikini, ukweli ni kwamba biashara hiyo imekuwa mkombozi kwa wanawake wengi katika Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro. Biashara hiyo imewapa mafanikio kama vile kujenga nyumba, kusomesha watoto, kusaidia familia zao mahitaji muhimu ya kila siku huku wakijisikia furaha kuifanya kama ajira inayoendesha…

Read More

TANROADS yaweka kambi kurejesha mawasiliano barabara ya Tingi-Kipatimo mkoani Lindi

Wakala ya Barabara Tanzania (Tanroads) mkoa wa Lindi imeweka kambi ili kuhakikisha unarejesha mawasiliano katika barabara ya Tingi hadi Kipatimo wilayani Kilwa ambayo iliathiriwa na mvua za El-Nino na kimbunga Hidaya. Kwa pamoja majanga hayo asili yalisababisha baadhi ya madaraja katika barabara hiyo kusombwa na maji jambo ambalo liliweka ugumu katika ufanyaji wa shughuli mbalimbali…

Read More

Jubilee Insurance yawakumbuka watoto wenye utapiamlo

Dar es Salaam. Katika kurudisha kwa jamii Kampuni ya Bima ya Jubilee Allianz General imetoa msaada wa vifaatiba katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Mwananyamala iliyopo Kinondoni Dar es Salaam. Vifaa vilivyotolewa ambavyo vimeelekezwa moja kwa moja kuwahudumia watoto wenye ugonjwa wa utapiamlo ni pamoja mfuko wa sukari, viti 15, maziwa maboksi matatu, sinki pamoja…

Read More