Wachambuzi: Siasa za machafuko hazikubaliki TZ

  SIKU chache baada ya viongozi wakuu wa Chadema kukamatwa na Jeshi la Polisi kwa madai ya kukaidi agizo la kupiga marufuku kongamano la maadhimisho ya vijana duniani, wachambuzi wa masuala ya siasa wameonya viongozi hao wa chama hicho kikuu cha upinzani nchini kuheshimu sheria za nchi kwani siasa za machafuko hazina masilahi kwa Taifa….

Read More

Idadi wagonjwa wa macho KCMC tishio

Moshi. Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini (KCMC) inapokea  watu 40,000 wenye matatizo ya macho kwa mwaka ambapo miongoni mwa wanaobainika kuwa na tatizzo la ukungu kwenye lenzi ya jicho (cataract), ni wenye umri mkubwa. Hayo yamesemwa leo Mei Mosi, 2024 na Daktari bingwa wa macho, hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini (KCMC), Dk…

Read More

Tanzania, Kenya, Uganda zaandika rekodi CHAN 2024

TIMU za taifa za Tanzania, Kenya na Uganda zimeandika rekodi mpya katika soka la Afrika baada ya zote kwa pamoja kufuzu hatua ya robo fainali ya mashindano ya mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN) 2024 huku wakiongoza makundi yao. Kwa mara ya kwanza tangu kuanzishwa mashindano hayo, Tanzania, Kenya na Uganda zimepenya hatua…

Read More

Aliyeua wenza aachiwa huru | Mwananchi

Arusha. Mahakama ya Rufani iliyoketi Mwanza, imemuachia huru Elias James, ambaye mwaka 2020 alihukumiwa adhabu ya kifo kwa tuhuma za kuwaua kwa kutumia panga Zawadi Balthazary na Daud Phares ambao ni mke na mume. Kulingana na kosa lilivyokuwa, ilidaiwa siku ya tukio, baada ya kuwaua wanandoa hao, naye alijijeruhi kwa kujikata kwa kutumia kisu, koo…

Read More

Dabo apata shavu Libya | Mwanaspoti

ALIYEKUWA kocha mkuu wa Azam FC, Youssouph Dabo amesema ni heshima kubwa kupata nafasi ya kuifundisha timu ya taifa ya Libya, akiwa kocha msaidizi wa Aliou Cisse, aliyeipa Senegal ubingwa wa Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON), mwaka 2022. Dabo alijiunga na AS Vita Club baada ya kuachana na Azam, Septemba 3, 2024, kutokana na…

Read More

Mitihani ya kidato cha sita kuanza kesho

Dar es Salaam.  Jumla ya watahiniwa 113,504 wanatarajiwa kufanya mtihani wa kidato cha sita, kuanzia kesho Mei 6 mwaka huu huku ikitarajiwa kumalizika Mei 24. Mtihani huo wa kidato cha sita, utafanyika kwenye jumla ya shule 931 na vituo vya watahiniwa wa kujitegemea 258. Pamoja na hayo, mitihani ya ualimu ngazi ya cheti na stashahada…

Read More

Tamu, chungu rekodi ya Simba kwa Wasauzi

JUMAPILI hii Aprili 20, 2025, Simba SC itaikaribisha Stellenbosch FC katika mchezo wa mkondo wa kwanza wa nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika. Katika mchezo huo utakaofanyika Uwanja wa New Amaan Complex uliopo Kisiwani Unguja, rekodi zinaonyesha upande mmoja kuwa mtamu zaidi kwa Simba, huku pia ikiwa mchungu pindi inapocheza dhidi ya timu kutoka…

Read More