Gramu 506.63 za heroin zawatupa jela maisha 

Arusha. Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, Masijala imewahukumu kifungo cha maisha jela watuhumiwa wawili baada ya kutiwa hatiani kwa makosa ya kusafirisha dawa za kulevya aina ya heroin. Hukumu hiyo ilitolewa Februari 14, 2023 na Jaji Sedekia Kisanya na nakala yake kuwekwa kwenye mtandao wa Mahakama. Waliohukumiwa adhabu hiyo ni…

Read More

Guterres atoa wito wa kukomeshwa kwa ghasia za Myanmar, mateso dhidi ya Warohingya – Masuala ya Ulimwenguni

Takriban Warohingya milioni moja wanajihifadhi nchini Bangladesh na zaidi ya 130,000 zaidi wametafuta mahali pa usalama katika eneo lote bila matarajio ya haraka ya kurudi, alisema António Guterres katika taarifa iliyotolewa na Msemaji wake siku ya Ijumaa – kabla ya kuadhimisha kumbukumbu ya Jumapili. “Hali mbaya ya usalama na ya kibinadamu na changamoto zinazoendelea za…

Read More

Pata msisimko wa mashindano ya Expanse Slot Meridianbet

  Mashindano ya Expanse Slot yanayofanywa na Meridianbet bado yanaendelea mpaka Desemba 31, 2024. Mashindano haya ni hususani kwa wateja na washiriki na wapenzi wote wa kubashiri kuweza kujinyakulia mkwanja mrefu katika harakati za kumaliza/ kufunga mwaka. Yaan unamaliza mwaka kwa kuibuka na kitita kutoka Meridianbet. Promosheni hii maalum inapatikana kwa wachezaji wote waliosajiliwa kwenye…

Read More

Uzinduzi wa Madini ya Vito Wafanyika Mji mdogo wa Mererani Wilayani Simanjiro,Mkoani Manyara.

  Na Jane Edward, Manyara Serikali imesema haina mpango wa kuchukua madini ya wafanyabiashara wa madini yatakayobaki kwenye minada itakayokuwa inaendeshwa na kusimamiwa na wizara ya Madini. Akizungumza Mkoani AManyara mji mdogo wa Mererani wakati wa zoezi la uzinduzi wa mnada wa madini ya vito, Waziri wa Madini Anthony Mavunde Mavunde amesema dhana potofu imejengeka…

Read More

TLP yaahidi kampeni za amani, utulivu

Dar es Salaam. Chama cha Tanzania Labour Party (TLP), kinatarajia kuzindua kampeni zake Septemba 4, 2025 huku kikiahidi kuwa zitafanyika kwa amani na utulivu. Hayo yameelezwa leo Ijumaa Agosti 29, 2025 na mgombea urais wa chama hicho, Yustas Rwamugira, katika hafla ya wananchama kumpokea iliyofanyika makao makuu ya chama hicho Magomeni, Dar es Salaam akitokea…

Read More

Moto wateketeza bweni la shule ya Wasichana Asha-Rose Migiro

Mwanga. Moto ambao chanzo chake hakija-julikana umeteketeza bweni la Shule ya Wasichana ya Asha-Rose Migiro, linalotumiwa na wanafunzi 347 katika Kitongoji cha Ma-kuyuni, Wilaya ya Mwanga, mkoani Kilimanjaro. Mbali na kuteketea kwa bweni hilo, wanafunzi 46 wamepata mshituko na kupelekwa Kituo cha Afya Mwilange kwa ajili ya kupatiwa matibabu zaidi. Kamanda wa Jeshi la Zimamoto…

Read More

Wananchi 270 waiburuza mahakamani halmashauri ya Muheza

Wananchi 260 wakiongozwa na wakili Saimoni mbwambo wamefungua shauri dogo kwenye mahakama kuu kanda ya Tanga dhidi ya halmashauri ya wilaya ya muheza  kwa madai ya kutaka kuchukua mashamba yao kuwapa wawekezaji bila kufuata utaratibu . Awali Wakili saimoni mbwambo akiwawakilisha wananchi hao amesema kua wamefungua shauri hilo dogo kwa wanakijiji  10 ambao watawawakilisha wenzao…

Read More