
Tanzania, China kushirikiana kuhifadhi historia, utamaduni
Dar es Salaam. Tanzania imeahidi kuendelea kushirikiana na Jamhuri ya Watu wa China katika kulinda utamaduni na kuhifadhi kumbukumbu za historia kwa manufaa ya vizazi vijavyo katika mataifa hayo. Rai hiyo ilitolewa jana, Agosti 16, 2025 na Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk Pindi Chana, wakati wa maonyesho ya picha za kihistoria yenye lengo la…