Chongolo aja na mbinu mpya ujenzi vyoo bora kwa kaya

Songwe. Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Daniel Chongolo amesema anaanzisha mashindano ya ujenzi wa choo bora wilayani Momba na kaya itakayoibuka na ushindi itajipatia mifuko mitatu ya mbolea. Hatua hiyo imekuja zikiwa zimepita siku chache tangu Mganga Mkuu wa Mkoa huo, Dk Boniface Kasululu kufanya ukaguzi wa vyoo katika kijiji cha Mkutano wilayani Momba na…

Read More

Adam afunguka kilichomng’oa Mashujaa | Mwanaspoti

MUDA mchache baada ya uongozi wa Mashujaa FC kuweka bayana kuachana na kinara wa mabao wa timu hiyo, Adam Adam  mchezaji huyo amevunja ukimya na kufunguka kilichomng’oa. Mshambuliaji huyo mwenye mabao saba katika Ligi Kuu ambaye mkataba alionao na klabu hiyo unaisha mwisho wa msimu huu, ameliambia Mwanaspoti  ameachana na timu hiyo baada ya kuomba…

Read More

WANAHARAKATI WAIPA KONGOLE SERIKALI BAJETI YA WIZARA YA ELIMU

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV WADAU wa Semina za Jinsia na Maendeleo wameipongeza Serikali kuongeza fedha katika bajeti ya Elimu kwa mwaka wa fedha 2024-2025 ambapo itawapatia fursa wanafunzi waliokosa fedha kwa ajili ya kujiendeleza kwenye masomo ya elimu ya juu kwa kuwapatia mikopo ambayo itawasaidia kufikia ndoto zao. Kwenye Bajeti hiyo serikali imetenga fedha…

Read More

Aziz KI ampindua Fei Toto, afikia rekodi ya Mayele

MABAO mawili aliyofunga kiungo mshambuliaji wa Yanga, Stephane Aziz Ki katika ushindi wa wa 4-0 dhidi ya Dodoma Jiji yamemfanya kufikisha 17, hivyo kuwa kinara akimpiku nyota wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’ mwenye 16. Katika mchezo huo wa Ligi Kuu Bara uliopigwa kwenye Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma, Aziz Ki amefunga mabao hayo…

Read More

Wadau wataka sera kusaidia wabunifu nchini

 Dar es Salaam. Wadau wa ujuzi wa kidijitali, wameiomba Serikali kutengeneza sera itakayowasaidia wabunifu na wavumbuzi kushiriki katika masuala ya teknolojia kwa sababu kuna vijana wana mawazo ya kibunifu lakini sera zilizopo zinawasababisha kushindwa kufanya kazi kwa ukamilifu. Hayo yamesemwa leo Jumatano  Mei 22, 2024 na mwezeshaji kutoka Kitengo cha Ubunifu cha Youth 4 Children…

Read More