Aliyembaka aliyekuwa mwanafunzi jela miaka 30

Arusha. Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, imebariki adhabu ya kifungo cha miaka 30 jela aliyohukumiwa Said Mohamed, baada ya kukutwa na hatia katika kesi ya ubakaji. Said alikutwa na hatia ya kesi ya ubakaji wa aliyekuwa mwanafunzi wa darasa la tano mwenye umri wa miaka 15, kinyume na kifungu cha 180 (1)…

Read More

‘Weka taa kwenye’ kwa wanawake na wasichana waliopata shida – maswala ya ulimwengu

Chombo cha afya cha uzazi cha UN, UNFPAamekuwa akifanya kazi kutathmini athari za kupunguzwa kwa kasi kwa fedha, na kuonya kwamba kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kwenda Haiti, Sudan na zaidi, ukosefu wa fedha za utunzaji wa uzazi au matibabu kukabiliana na unyanyasaji wa kijinsia, husababisha mateso yasiyokuwa na ukweli. Mamilioni yao tayari wanakabiliwa…

Read More

Dorothy ajitosa kupambana na Samia

Dar es Salaam. Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Dorothy Semu ametangaza nia ya kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu baadaye mwaka huu, akitaja mambo manne yaliyomsukuma kuitaka nafasi hiyo. Iwapo atapitishwa na chama chake kuwania nafasi hiyo, atakuwa mgombea wa mwingine mwanamke katika uchaguzi wa mwaka huu. Anatarajiwa kuchuana na Rais Samia…

Read More

Simba Day Agosti 3 | Mwanaspoti

TAMASHA la ‘Simba Day’ mwaka huu litafanyika Agosti 3  kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam badala ya Agosti 8 kama ambavyo imezoeleka kila msimu. Tamasha hilo ambalo limekuwa maarufu nchini limepangwa kufanyika Agosti 3 kutokana na ratiba ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) inayohusiana na mechi za Ngao ya Jamii itakayopigwa kati…

Read More