Sababu mikoa  10 kuwa kinara wanafunzi kuacha shule

Dar es Salaam. Kila mwaka wa masomo, maelfu ya watoto huacha shule kabla ya kumaliza elimu ya msingi au sekondari. Tatizo hili ni kubwa kwa mikoa 10 ambako, kwa mujibu wa uchambuzi wa gazeti hili ukitumia takwimu za Serikali, kuna idadi kubwa ya wanafunzi wanaoacha shule katika ngazi ya msingi na sekondari. Wadau wanasema hali hiyo…

Read More

Wenyeviti waomba nyongeza ya posho

Kibaha . Wenyeviti wa serikali za mitaa 73 kutoka Halmashauri ya Mji wa Kibaha, Mkoa wa Pwani, wameomba kuongezwa kwa posho wanayopokea kutoka Sh10,000 hadi Sh50,000. Wenyeviti hao wameomba Serikali kufanyia tathmini kiwango hicho wanacholipwa sasa kwa kuwa hakiwawezeshi kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi. Wakizungumza na Mwananchi muda mfupi baada ya kuapishwa wenyeviti hao wamesema…

Read More

Mgodi wa dhahabu Magambazi kuanza rasmi Julai

Handeni. Wizara ya Madini imeridhia Kampuni za PMM Tanzania Limited na East African Metals (CANACO) watafute mwekezaji mwingine wa tatu mwenye nguvu  ili kuendesha mgodi wa Dhahabu wa Magambazi uliopo wilaya ya Handeni Mkoani Tanga,ambao umekuwa ukisuasua kufanyakazi kwa muda mrefu. Waziri wa Madini Anthony Mavunde ameeleza hayo wakati akitoa muafaka ambapo alitoa siku 30…

Read More

Dangote katika changamoto ya kiuwekezaji nchini mwake

Takribani wiki mbili zilizopita, kwenye mahojiano na Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC), tajiri mkubwa barani Afrika, Aliko Dangote, alikaribia kulia akizungumzia hali ngumu ya kibiashara anayopitia. Miezi michache iliyopita, Dangote alitangaza uzinduzi wa moja ya viwanda vikubwa vya kusafisha mafuta barani Afrika kwa lengo la kuzalisha mafuta kwa gharama nafuu kwa wananchi. Kwa bahati…

Read More

Coastal yamtimua Kocha, mrithi wake huyu hapa

Coastal Union imefikia uamuzi wa kuachana na Kocha Ali Ameir baada ya kuinoa katika mechi tatu tu za Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu. Ameir ameinoa timu hiyo katika mechi dhidi ya Tanzania Prisons, JKT Tanzania na Dodoma Jiji. Mwenendo usioridhisha wa timu hiyo katika mechi hizo, unaonekana kuchangia kufupishwa kwa mkataba baina ya pande…

Read More

Djuma Shaban atimkia Ufaransa | Mwanaspoti

BEKI wa zamani wa Yanga, Djuma Shaban anayekipiga Namungo kwa sasa, ametimka nchini kwenda Ufaransa, huku akifunguka kilichofanya aende huko akiwa amepewa muda wa wiki moja kabla ya kurejea kikosini kuungana na wenzake kujiandaa na mechi za Ligi Kuu Bara. Djuma aliyewahi kuitumikia AS Vita ya DR Congo kabla ya kutua Yanga misimu mitatu iliyopita,…

Read More