Fountain Gate hakuna kulala, warejea kambini

LICHA ya Ligi Bara Kuu kusimama kwa miezi miwili, kikosi cha Fountain Gate kimeamua kurudi mapema kambini kikipanga kuanza Jumamosi kujiweka fiti tayari kwa duru la pili la ligi ya msimu huu. Fountain ambayo ipo nafasi ya sita kwenye msimamo inatarajia kuingia kambini Januari 11, huku mastaa wa timu hiyo wakitarajia kuanza kuripoti kuanzia kesho,…

Read More

Maafisa Usafirishaji wasikilizwa na Polisi Kata Ngara Mjini.

Mkaguzi kata ya Ngara Mjini Mkaguzi Msaidizi wa Polisi A/INSP Olipa Chitongo amefika katika kituo cha waendesha Pikipiki ya magurum mawili na kusikiliza kero za kiusalama zinazowakabili huku akiwaomba kuendelea kutoa taarifa Kwa Jeshi la Polisili Juu ya watu wanaofanya uhalifu katani hapo. Mkaguzi huyo amebainisha hayo mara baada ya kusikiliza kero za kiusalama Kwa…

Read More

Wizara ya fedha kukusanya Sh4.9 trilioni mwaka 2024/25

Unguja. Wizara ya Fedha na Mipango Zanzibar inakadiria kukusanya Sh4.9 trilioni mwaka wa fedha 2024/25 sawa na ongezeko la asilimia 77 ikilinganishwa na makadirio ya kukusanya Sh2.76 trilioni yaliyopangwa kukusanywa mwaka wa fedha 2023/24. Hayo yamebainishwa Juni 10, 2024  na Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Saada Mkuya wakati akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya…

Read More

TBS YATOA ELIMU MAONESHO YA SABA YA MIFUKO NA PROGRAMU ZA UWEZESHAJI WANANCHI KIUCHUMI SINGIDA

SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limeendela kutoa elimu ya ubora wa bidhaa katika Maonesho ya saba ya Mifuko na Programu za uwezeshaji wananchi kiuchumi yaliyofanyika katika viwanja vya Bombadier mkoani Singida. Akizungumza katika Maonesho hayo ambayo yameanza Septemba 8,2024 na kumalizika Septemba 14, 2024, Afisa mtoa elimu, Sileja Lushibika amesema TBS imeshiriki na kutoa elimu…

Read More

Mchakato kuwarudisha Watanzania waliopo Israel, Iran waanza

Dar es Salaam. Serikali imeanza kuchukua hatua za haraka na za kiutendaji ili kuhakikisha Watanzania waliopo nchini Iran na Israel wanarejeshwa salama nchini. Uamuzi huo umetokana na mgogoro unaoendelea kushamiri kati ya mataifa hayo mawili, hali ambayo imesababisha baadhi ya nchi kuanza kuchukua hatua za dharura za kuwarejesha raia wao waliopo katika maeneo hayo. Mashambulizi…

Read More

Msajili atengua uteuzi wa vigogo Chadema

Dar es Salaam. Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa imetengua uteuzi wa wajumbe wanane wa sekretarieti na kamati kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), waliothibitishwa na Baraza Kuu la chama hicho Januari 22, 2025.  Mbali na kutengua, ofisi hiyo imetoa maelekezo kwa chama hicho kikuu cha upinzani nchini yanayopaswa kufanyiwa kazi ili…

Read More