Bado siku 9 kwa waombaji mikopo elimu ya juu

Dar es Salaam. Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imewakumbusha waombaji wa mikopo na ufadhili wa Samia Scholarship kuwa dirisha la maombi kwa mwaka wa masomo 2025/2026 litafungwa rasmi Agosti 31, 2025 bila kuongezwa muda. HESLB imetoa kauli hiyo jana Alhamisi Agosti 21, 2025 kupitia taarifa yake kwa vyombo vya habari,…

Read More

Ni robo fainali ya kisasi Ligi ya Kikapu Dar

Ni vita ya kisasi    robo fainali ya Ligi ya Kikapu Dar es Salaam (BDL) itakayoanza kesho (Jumamosi) kwenye Uwanja wa Donbosco Upanga. Kila timu inasaka ushindi kwa kulipa kisasi baada ya kufungwa katika hatua ya kwanza ya ligi hiyo na JKT Stars itakutana na Vijana Queens, huku Jeshi Stars itamenyana na  Pazi Queens. Kwa upande…

Read More

Mayanga kazi anayo usajili Mashujaa

WAKATI vigogo vya soka vikiendelea kutambiana kwa sajili zao, kuna watu wanaitwa Mashujaa wanafanya usajili mzuri sana wa wachezaji wazawa. Ndiyo tunakumbuka hapa kijiweni Mashujaa inamilikiwa na Jeshi la Wananchi Tanzania na kama ilivyozoeleka timu za majeshi huwa kwa asilimia kubwa zinatoa fursa kwa watoto wa nyumbani kwa maana ya wachezaji wazawa. Sasa kama husajili…

Read More

Straika Mzambia atua Singida Black Stars

TIMU ya Singida Black Stars inaendelea na maandalizi ya msimu jijini Arusha chini ya kocha Miguel Gamondi, huku uongozi wa kikosi hicho ukifikia makubaliano ya kumsajili mshambuliaji, Andrew Phiri kutoka Maestro United ya Zambia. Nyota huyo raia wa Zambia, alikuwa sehemu ya kikosi cha timu hiyo kilichotolewa katika michuano ya CHAN 2024, ambapo mabosi wa…

Read More

Tuungane pamoja tuimalize Morocco | Mwanaspoti

LEO ndiyo leo na asemaye kesho muongo, maana timu yetu ya taifa ‘Taifa Stars’ inaweza kuandika historia ya kibabe kwenye mashindano ya CHAN au safari yake ikaishia kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa itakapokabiliana na Morocco. Na kwa vile ni robo fainali, maana yake timu itakayopoteza itaaga rasmi mashindano hayo yanayoshirikisha wachezaji wanaocheza ligi za ndani…

Read More

Siri usiyoijua ulaji wa mapera na Uviko-19

Dar es Salaam. Tuna ahamu matunda yenye vitamini C, husaidia kuimarisha kinga ya mwili na kuharakisha uponaji kwa haraka. Hata hivyo, ulishawahi kujiuliza siku ukikosa machungwa ambayo wataalamu wa masuala ya afya, wanatueleza kuwa yamesheheni vitamin C, unaweza kutumia matunda gani ambayo yatakusaidia kupata vitamin C kwa wingi? Jibu hili hapa, matunda kama mapera, yatakupa vitamin…

Read More