Nje ya uwanja nyomi | Mwanaspoti

NJE ya Uwanja wa Benjamin Mkapa mambo yameanza kunoga kwa mashabiki wa Yanga kuonekana kwa wingi wakiwa wanashuka kutoka kwenye mabasi na usafiri mwingine ili kuingia kushuhudia tamasha la kilele cha wiki ya Mwananchi. Tamasha hilo ambalo ni la saba kwa Yanga tangu lianzishwe mwaka 2019 chini ya aliyekuwa mwenyekiti wa klabu hiyo Dr Mshindo…

Read More

Hiki hapa chanzo cha ufaulu wa wanafunzi Ludewa

Njombe. Motisha kwa walimu imeelezwa kuwa chanzo cha Wilaya ya Ludewa kufanya kuongoza kwenye ufaulu wa wanafunzi matokeo ya mtihani wa taifa kidato cha sita na kushika nafasi ya kwanza kimkoa kati ya wilaya zote za Mkoa wa Njombe. Hayo yamesemwa leo Agosti 23, 2025 na Mkurugenzi Mtendaji Wilaya ya Ludewa Sunday Deogratias wakati wa…

Read More

OCPD YAHIMIZA USAHIHI KWENYE UANDISHI WA HABARI ZA MASUALA YA KISHERIA NCHINI

 Na: Calvin Gwabara – Dodoma. Jamii na Wanahabari wametakiwa kutambua kuwa Katiba inabeba masharti ya jumla ya masuala mbalimbali ya nchi lakini masharti hayo yanafafanuliwa zaidi kupitia Sheria, kanuni na Miongozo, hivyo jamii isidai yaliyoandikwa kwenye katiba moja kwa moja bila kutafuta ufafanuzi zaidi na kuhisi wananyimwa haki zao. Mwandishi Mkuu wa Sheria nchini Bw….

Read More

TMA yatoa tahadhari kwa watumiaji wa Ziwa Nyasa

Mbeya. Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA), Kanda ya Nyanda za Juu Kusini imewataka wavuvi mwambao mwa Ziwa Nyasa kuchukua tahadhari kufuatia kuwepo kwa vipindi vya radi na upepo mkali wenye uwezo wa kusababisha ajali au kupinduka vyombo vya uvuvi majini. Mbali na wavuvi pia imewataka wananchi waishio mabondeni kuchukua tahadhari kubwa kufuatia udongo kufyonza…

Read More

ALHIKMA FOUNDATION YATANGAZA MASHARTI 10 YA NDOA 130

:::::::: Msharti 10 yaliyotangazwa na Taasisi ya Al-Hikma ili kutimiza kigezo cha kufanikisha mchakato huo.  Miongoni mwa masharti hayo yaliyotangazwa na mkurugenzi wa taasisi hiyo, Sheikh Nurdin Kishki ni pamoja na mwanamke ndio akachukue fomu ya mchakato huo, awe Mtanzania, muombaji asiwe na mume na huyo mtarajiwa wake asiwe na mke.  Mengine ni awe ameposwa…

Read More

Mghana aingia anga za Singida BS

MABOSI wa Singida Black Stars, wameanza kumfuatilia kiungo mshambuliaji wa Gor Mahia FC ya Kenya, Mghana, Enock Morrison, ambaye hadi sasa hakuna mazungumzo ya kuongeza mkataba mpya huko alipo, baada ya huu wa sasa kufikia tamati mwishoni mwa msimu huu. Chanzo kutoka ndani ya timu hiyo, kimeliambia Mwanaspoti, Enock ni miongoni mwa wachezaji wanaofuatiliwa kwa…

Read More