Maniche awatoa hofu Mtibwa Sugar

KOCHA wa Mtibwa Sugar, Awadh Juma ‘Maniche’ amesema licha ya timu hiyo kutosajili mchezaji yeyote dirisha dogo la usajili lililofungwa Januari 15, mashabiki wasiwe na hofu kwa sababu wachezaji wao muhimu wote wamewabakisha. Akizungumza na Mwanaspoti, Maniche alisema benchi la ufundi hawana hofu na kutofanyika kwa usajili kwa sababu tayari wachezaji wao wote muhimu hakuna…

Read More

Sababu kupandishwa hadhi mabaraza haya Zanzibar

Unguja. Miradi  ya maendeleo, kuongezeka kwa shughuli za kiuchumi, kuchangia asilimia 10 za kuwawezesha wajasiriamali, ongezeko la mapato na kutekeleza miradi ni miongoni mwa sababu za kupandishwa hadhi ya Baraza la Mji Kati na Halmashauri ya Wilaya Kusini  kuwa Manispaa na Baraza la Mji. Hayo yamebainishwa leo Jumatatu Agosti 18,2025 katika hafla ya kukabidhi hati…

Read More

SAFARI YA MSAMBULIAJI WA NIGERIA KUTOKA NAPOLI HADI GALATASARAY – MWANAHARAKATI MZALENDO

Victor Osimhen, mshambuliaji nyota kutoka Nigeria, amejikuta katika mazingira mapya baada ya mkataba wake wa mkopo na Galatasaray kuashiria mwisho wa safari yake iliyojawa na changamoto katika klabu ya Napoli. Miezi 12 iliyopita, Osimhen alikuwa miongoni mwa wachezaji wanaosakwa zaidi ulimwenguni, akihusishwa na mafanikio ya Napoli katika kunyakua taji lao la kwanza la Serie A…

Read More

Yanga yaruka mtego wa Waalgeria

HII inaweza kuwa habari njema kwa Yanga baada ya taarifa kutoka Algeria kubainisha kwamba mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika Kundi A dhidi ya MC Alger utachezwa palepale ulipopangwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) na si vinginevyo. Awali MC Alger kupitia rais wa klabu hiyo, Mohamed Hakim walipeleka barua CAF kuomba kubadilisha uwanja…

Read More

Tanzania yapania ushindi gofu Afrika leo

Wacheza gofu wa timu ya taifa ya wanawake ya Tanzania wamepania kuianza vyema raundi ya kwanza ya michuano ya gofu ya Afrika inayoanza rasmi leo baada kukamilika kwa mazoezi ya siku tatu katika viwanja vya klabu ya Taghazout mjini Agadir Morocco. Timu hiyo iliyowasili mwishoni mwa juma nchini Morocco, ilishiriki katika zoezi la siku tatu…

Read More

Polisi Tabora yawashikilia watu 7 kwa tuhuma za wizi wa nyanya za shaba katika transifoma 5 za Tanesco

Jeshi la Polisi Mkoani Tabora linawashikilia watu 7 kwa tuhuma za wizi wa nyanya za shaba katika transifoma tano za shirika la Umeme Tanzania TANESCO katika mkoa huo na kusababisha hasara shirika hilo. Taarifa hiyo imetolewa na kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Richard Abwao na amesema watuhumiwa hao wamebainika…

Read More

Mafunzo ya usalama Osha ni zaidi ya darasa

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Saa nne za mafunzo ya usalama kazini kwa Chama cha Wafanyakazi wa Vyombo vya Habari Tanzania (Jowuta) zilionekana hazitoshi kutokana na wengi kuwa na shauku ya kutaka kujifunza zaidi. Wako waliosikika wakisema ‘kumbe tunajimaliza wenyewe’, ‘nitanunua kiti changu niende nacho ofisini’, ‘nitaanza kubeba kipande cha mkaa kwenye mkoba wangu’ na…

Read More

Mwabukusi ruksa kupinga kuenguliwa kugombea urais

Dar es Salaam. Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imemruhusu wakili Boniface Mwabukusi kufungua shauri la marejeo ya uamuzi uliomwengua kwenye orodha ya wagombea urais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS). Hata hivyo, imekataa ombi la kusimamisha mchakato wa uchaguzi huo ambao sasa utaendelea kama ulivyokuwa. Uamuzi huo umetolewa leo, Julai 17, 2024 na…

Read More