Aliyehukumiwa kifungo miaka 30 jela kwa unyang’anyi aachiwa huru

Arusha. Mahakama ya Rufani Tanzania  imemwachia huru, Grace Omary aliyekuwa akitumikia kifungo cha miaka 30 jela alichohukumiwa kwa kosa la kumpora mwanamke mwenzake fedha taslimu Sh300,000 kwa kutumia silaha baada ya kushinda rufaa yake. Grace ambaye alijiwakilisha mwenyewe kortini, alihukumiwa kifungo hicho na Mahakama ya Wilaya ya Tarime, akakata rufaa Mahakama Kuu lakini akakwaa kisiki…

Read More

BARRICK NORTH MARA YALIPA BILIONI 3.7/ ZA USHURU WA HUDUMA TARIME VIJIJINI, BILIONI 1.7/- ZA MRABAHA KWA VIJIJI VITANO

Rais na Afisa Mtendaji Mkuu wa Barrick, Dkt. Mark Bristow akikabidhi mfano wa hundi ya shilingi bilioni 3.7 kwa viongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Tarime katika ukumbi wa mikutano wa Mgodi wa Dhahabu wa North MaraRais na Afisa Mtendaji Mkuu wa Barrick, Dkt. Mark Bristow (katikati waliokaa), Mbunge wa Tarime Vijijini, Mwita Waitara (wa…

Read More

WAKULIMA PIMENI AFYA YA UDONGO KUEPUKA HASARA

Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA), Dkt. Anthony Diallo akizungumza na wakulima wa Chama cha Msingi cha Ushirika wa Wakulima wa Miwa (AMCOS) cha Mkula, Halmashauri ya Ifakara mkoani Morogoro wakati wa ziara iliyolenga kujifunza, kupokea na kutatua changamoto za wakulima hao wa miwa tarehe 26 Mei, 2025. Mwenyekiti wa…

Read More

MO Dewji awatuliza mashabiki Simba, akiahidi neema

WAKATI vurugu za mastaa wa Simba kuaga baada ya makubaliano ya pande zote mbili, Rais wa heshima na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa klabu hiyo, Mohammed ‘Mo’ Dewji amewatuliza mashabiki na wanachama wa Msimbazi na kuahidi neema msimu ujao. Baadhi ya mastaa wa klabu hiyo, wameshaaga akiwamo Fabrice Ngoma,  Valentino Nouma, Awesu Awesu na…

Read More

Juhudi na jitihada haijawahi kumtupa mtu” DC Mwanziva

Mkuu wa Wilaya ya Lindi, Mhe. Victoria Mwanziva amewaasa vijana wa Lindi kuweka juhudi na jitihada katika mambo wanayoyafanya ili kupata matokeo tarajiwa. Mhe. Mwanziva ametoa nasaha hiyo, Juni 10, 2025 wakati wa mahafali ya wanafunzi waliohitimu Mafunzo ya Ufundi Stadi Ngazi ya Tatu katika Chuo cha VETA Lindi. Mhe. Mwanziva ambaye alishiriki mahafali hayo…

Read More

Miradi 100 ya utafiti na ubunifu kuwasilishwa

Dar es Salaam. Maonyesho makubwa yanatarajiwa kuonesha zaidi ya miradi 100 ya kitaaluma na ubunifu, ikiwa ni pamoja na suluhisho bunifu katika nyanja za afya, kilimo, mazingira, elimu, teknolojia ya habari, biashara, na mabadiliko ya tabianchi katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (Udsm) kuanzia Juni 9 hadi 11. Miradi hiyo ni kazi za wanafunzi…

Read More

Vitisho vya upimaji wa nyuklia vinarudi na kusasisha kunakua zaidi, anaonya mkuu wa UN – maswala ya ulimwengu

Mtihani wa nyuklia unafanywa kwenye kisiwa huko Polynesia ya Ufaransa mnamo 1971. Mkopo: Shirika la Mkataba wa Mtihani wa Nyuklia-Mtihani (CTBTO) na Thalif Deen (Umoja wa Mataifa) Jumanne, Septemba 30, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Umoja wa Mataifa, Septemba 30 (IPS) – Je! Utawala wa Trump hautabiriki na wazo la kuanza tena majaribio ya…

Read More

Ki, Fei wairudia bato ya Mayele na Mpole

BATO ya ufungaji wa mabao ya Ligi Kuu Bara, baina ya viungo Stephane Aziz Ki wa Yanga na Feisal Salum ‘Fei Toto’ wa Azam FC, inaweza ikajirudia ilivyokuwa katika  msimu wa 2021/22 kati ya  George Mpole na Fiston Mayele anayeichezea Pyramids ya Misri kwa sasa. Katika msimu wa 2021/22, Mayele akiwa Yanga na Mpole alikuwa…

Read More