ACT Wazalendo: Tuna majawabu changamoto za korosho

Tandahimba. Chama cha ACT-Wazalendo, kimedai kina majawabu ya changamoto zinazowakumba wakulima wa zao korosho nchini, ikiwemo bei ndogo na makato wanayokatwa wakati wa kuziuza. Kimejinasibu kuwa majibu ya changamoto ikiwemo upatikanaji wa mbolea na soko la uhakika la zao hilo, yanayotokana na ACT Wazalendo kuwa na sera na muundo mzuri wa kuwatumikia wakulima. Hayo yalielezwa…

Read More

Mahakama yamuonya Malisa kutofika mahakamani

Dar es Salaam: Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu imemuonya mwanaharakati Godlisten Malisa, ambaye anashiriki katika kesi ya jinai pamoja na meya mstaafu, Boniface Jacob, maarufu Boni Yai. Mahakama hiyo imesema kwamba, endapo Malisa hatohudhuria usikilizwaji wa kesi yao siku nyingine, atachukuliwa hatua ikiwamo kupelekewa mahabusu. Katika kesi hiyo, wawili hao wanakabiliwa na mashitaka matatu ya…

Read More

Wakili Mwasipu: Lissu anatuhumiwa kuhamasisha vurugu maandamano ya Chadema

Dar es Salaam. Wakili wa Chadema, Hekima Mwasipu amesema Makamu Mwenyekiti wa Chadema-Bara, Tundu Lissu anashikiliwa kituo cha Polisi Mbweni, Dar es Salaam akituhumiwa kuhamasisha watu kufanya vurugu kupitia maandamano yaliyoitishwa na chama hicho. Lissu ni miongoni mwa viongozi na wanachama zaidi ya 40 wa chama hicho, akiwamo mwenyekiti wao, Freeman Mbowe, waliokamatwa kwa nyakati…

Read More

Vita katika sanduku la kura CCM, majimbo haya hapatoshi

Dar es Salaam. Kinyang’anyiro cha kuisaka tiketi ya kugombea ubunge wa majimbo kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), kimefikia katika sanduku la kura za maoni, huku mchuano mkali ukitarajiwa Makambako, Iringa Mjini, Kibamba, Namtumbo na Kinondoni. Majimbo hayo ni machache kati ya mengi yanayotarajiwa kuwa na mchuano mkali wa kura za maoni, kutokana na kile kinachoelezwa…

Read More

Watoto wanaotumikishwa Zanzibar kutoka Bara waanza kusakwa

Unguja. Katika kukabiliana na tatizo la usafirishaji wa watoto kutoka Bara kwenda Zanzibar kwa ajili ya ajira za utotoni, Serikali kwa kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama imeanza kufanya ukaguzi kwenye meli zinapowasili katika Bandari ya Malindi ili kubaini uwapo wa watoto hao. Katika operesheni iliyofanyika kwa siku nne kuanzia Aprili 18 hadi 21…

Read More