EALA waanza uchunguzi dhidi ya Dk Mathuki

Arusha. Wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), wanatarajiwa kukutana hivi karibuni ambapo pamoja na mambo mengine watamthibitisha katibu mkuu mpya wa Jumuiya hiyo Caroline Mwende Mueke. Serikali ya Kenya ilimpendekeza Caroline kuchukua nafasi ya Dk Peter Mathuki kwa miaka miwili iliyobaki, baada ya Dk Mathuki kuteuliwa kuwa Balozi wa Kenya nchini Russia…

Read More

BARABARA YA MBALIZI-MKWAJUNI KUJENGWA KWA KIWANGO CHA LAMI

NAIBU Waziri wa Ujenzi Mhandisi Godfrey Kasekenya amesema Serikali inaendelea na utekelezaji wa ujenzi wa barabara ya Mbalizi-Mkwajuni kwa kiwango cha lami yenye urefu wa kilometa 92 inayounganisha mikoa ya Mbeya na Songwe. Mhe. Kasekenya ameyasema hayo leo Bungeni jijini Dodoma katika kipindi cha maswali na majibu alipokua akijibu swali la Mbunge wa Viti maalum…

Read More

Gamondi, Aziz Ki waitisha Dodoma Jiji

HAIJAISHA hadi iishe, hivi ndio unaweza kusema baada ya kocha wa Yanga kutangaza vita kwenye mechi tatu zilizobaki ikiwemo ya kesho dhidi ya Dodoma Jiji kuwa hawajakamilisha ratiba na wanataka rekodi. Kiungo wa timu hiyo, Stephane Aziz Ki ameungana na kauli ya Gamondi akisisitiza kuwa bado wanayo kazi ya kuendelea kuwapa furaha mashabiki wao bila…

Read More

Utafiti kufanyika kubaini sumu ya samaki aina ya kasa

Unguja. Baada ya kutokea vifo vya mara kwa mara vinavyotokana na ulaji wa samaki aina ya kasa, sasa utafanyika utafiti wa sumu asili (Biotoxin) zilizomo ndani ya samaki huyo kuzitambua na athari zake. Baada ya kutambua sumu hizo, elimu itakayopatikana kutokana na utafiti huo itatumika katika kuelimisha jamii kuhusu athari zitokanazo na ulaji wa kasa.  Hatua…

Read More

Ni sanamu! Clara afunguka kupiga picha na Ronaldo

NYOTA wa Tanzania, Clara Luvanga anayekipiga katika klabu ya wanawake ya Al Nassr nchini Saudia alipachika picha akiwa pamoja na Staa wa timu hiyo, Cristiano Ronaldo iliyoacha maswali mengi kwa mashabiki wake wengine wakidhani imehariria hapa anajibu. Mapema leo alikuwa mubashara kwenye mtandao wa instagram na kujibu ukweli wa picha hiyo baada ya shabiki mmoja…

Read More

Benki ya Exim yazindua huduma ya ‘Exim Smart Shule’

  KATIKA juhudi za kuboresha teknolojia za kidijitali katika sekta ya elimu, Benki ya Exim imezindua huduma ya ‘Exim Smart Shule’ maarufu kama ‘Shule Kidijitali’, suluhisho la malipo linalorahisisha malipo ya ada za shule moja kwa moja na wazazi, walezi, au wanafunzi wenyewe. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dara es Salaam … (endelea). Kupitia namba maalum inayotolewa…

Read More