Wataalam TZ walalamikia kukosekana sera ya Akili Mnemba – DW – 21.05.2024

Wakati matumizi ya teknolojia hiyo yakianza kuwavutia wengi ikiwamo vijana wanachipua katika elimu ya vyuo vikuu kumekuwa na wasiwasi kutokana na serikali kutoweka bayana kuhusu sera inayoangazia eneo hilo. Hatua hiyo inakuja wakati mjadala kuhusu matumizi ya teknolojia hiyo ukiwa umeanza kuchomoza katika maeneo mbalimbali ikiwamo mijadala ya wasomo pamoja na wabunge bungeni inayoendelea kushuhudiwa…

Read More

Mwananchi, La Liga watia nguvu Umitashumta 

KATIKA dhana ya kuwezesha jamii, Kampuni ya Mwananchi Communications (MCL) kwa kushirikiana na Ligi Kuu Hispania (La Liga) wamechangia vifaa vya michezo katika Wilaya ya Ubungo, Dar es Saalam kwa ajili ya mashindano ya  Umoja wa Michezo na Taaluma kwa Shule za Msingi Tanzania (Umitashumta) yanayoendelea kwenye Uwanja wa Kinesi. Mbele ya mamia ya wanafunzi,…

Read More

Kuboresha Malipo ya Ada za Shule: Benki ya Exim Yazindua huduma ya ‘Exim Smart Shule’

Katika juhudi za kuboresha teknolojia za kidijitali katika sekta ya elimu, Benki ya Exim imezindua huduma ya ‘Exim Smart Shule’ maarufu kama ‘Shule Kidijitali’, suluhisho la malipo linalorahisisha malipo ya ada za shule moja kwa moja na wazazi, walezi, au wanafunzi wenyewe. Kupitia namba maalum inayotolewa na mfumo, malipo yanaweza kufanyika kwa urahisi kupitia matawi…

Read More

MAKATIBU MAHSUSI WA OFISI YA RAIS -TAMISEMI WASHIRIKI MKUTANO 11 WA TAPSEA

OR – TAMISEMI, Mwanza Makatibu Mahsusi wa Ofisi ya Rais -TAMISEMI wameshiriki Mkutano wa 11 wa Chama cha Makatibu Mahsusi Tanzania(TAPSEA) unaofanyika Mkoani Mwanza. Mkutano huo unawakutanisha Makatibu Mahsusi wa Tanzania Bara na Visiwani, Ofisi za Serikali na zisizokuwa za Serikali lengo likiwa ni kukumbushana maadili ya kazi zao na kubadilishana uzoefu. Akizungumza kwa niaba…

Read More

Geita, Mwanza waongoza kwa mbwa

Naibu waziri wa Mifugo na Uvuvi, Alexander Mnyeti amesema taarifa ya sampuli ya sensa ya kilimo, mifugo na uvuvi iliyotolewa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) mwaka 2020, ilikadiriwa Tanzania inao mbwa 2,776,918.  Anaripoti Mwandishi Wetu… (endelea). Aidha, kupitia taarifa hiyo amesema mikoa iliyoongoza kwa mbwa wengi ni Geita (302,879), Mwanza (287,270) na Tabora…

Read More

Majadiliano DPP, bosi Jatu hayajakamilika

Dar es Salaam. Serikali imesema inaendelea na majadiliano ya maridhiano ya kukiri kosa katika kesi inayomkabili Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Jatu PLC, Peter Gasaya. Gasaya (33), anakabiliwa na makosa mawili katika kesi ya uhujumu uchumi, akidaiwa kujipatia Sh5.1 bilioni kwa njia ya udanganyifu. Anadaiwa kujipatia fedha hizo kutoka Saccos ya Jatu kwa madai kuwa…

Read More

Serikali yanawa mikono fidia Kimara-Kibamba

SERIKALI imewataka waathiriwa wa bomoabomoa ya upanuzi wa barabara ya Morogoro kuanzia Kimara – Kibamba uliofanyika mwaka 2017/2018, kuelewa kwamba Serikali ilitumia sheria ya barabara ya mwaka 1932 na hakuna fidia itakayoweza kulipwa. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Imesema kulingana na Sheria hiyo Na. 40 ya mwaka 1932, hifadhi ya barabara zinazosimamiwa na Wakala wa…

Read More