Riba inavyotafuna mabilioni miradi ya maendeleo

Dar es Salaam. Ucheleweshaji wa utekelezaji wa miradi ya maendeleo inayosimamiwa na taasisi za umma umeendelea kuwagharimu walipakodi, kutokana na riba inayotozwa Serikali na wakandarasi wa miradi hiyo. Hiyo ni kwa mujibu wa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere, katika ripoti yake ya mwaka unaoishia Machi 2023 iliyowasilishwa bungeni jana…

Read More

Watu watatu wauawa katika shambulizi la kisu Ujerumani – DW – 24.08.2024

Msemaji wa polisi ya mji ulio karibu wa Düsseldorf amesema polisi imeanzisha operesheni kubwa ya kumsaka mshukiwa, ambaye alifanikiwa kutoweka katika vurugu zilizotokea. Mshambuliaji huyo aliwashambulia watu kiholela akitumia kisu. Tamasha hilo lilikuwa sehemu ya mfululizo wa matukio ya kusherehekea miaka 650 ya kuanzishwa mji huo. Watu walikusanyika mjini humo Ijumaa jioni katika siku ya kwanza…

Read More

BSSA lazindua majaji, watangazaji wapya msimu wa 15

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Msimu wa kumi na tano wa Shindano la kusaka vipaji, Bongo Star Search African (BSSA), umewatangaza rasmi majaji na watangazaji watakaoongoza mashindano haya yanayopanuka kwa mara ya kwanza hadi nchi jirani. Akizungumza katika hafla ya uzinduzi jijini Dar es Salaam, Jaji Mkuu wa BSSA, Madam Rita Paulsen, alifichua majina ya…

Read More

Lissu akabidhiwa gari lake, aomba msaada wa matengenezo

Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, Tundu Lissu leo Ijumaa amekabidhiwa gari lake aina ya Toyota Land Cruiser V8, VXR na Jeshi la Polisi mkoani Dodoma na kuwaomba Watanzania wamsaidie kulitengeneza kisha lifanye kazi za siasa.  Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Lissu amekabidhiwa gari hilo lililokuwa limehifadhiwa katika Kituo cha Polisi Dodoma tangu aliposhambuliwa kwa risasi tarehe…

Read More

Ujumbe wa Sugu kwa wanachadema huu hapa

Mbeya. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Nyasa, Joseph Mbilinyi maarufu Sugu amewataka wanachama na wafuasi wa chama hicho kuondoa tofauti zilizokuwepo wakati wa uchaguzi wa nafasi ya Mwenyekiti Taifa badala yake waungane kufikia malengo. Uchaguzi wa chama hicho katika nafasi mbalimbali ngazi ya Taifa ulifanyika Januari 21, 2025, ambapo Tundu…

Read More

Gamondi ataka miezi sita tu Singida BS

KOCHA Mkuu wa Singida Black Stars, Miguel Gamondi amesema ushindi dhidi ya KMC katika mechi ya Ligi Kuu Bara sio wa bahati mbaya, huku akiweka wazi ubora wa wachezaji alionao ndio siri ya mafanikio licha ya kukaa pamoja kwa muda mfupi, akisisitiza anataka apewe miezi sita tu. Gamondi amefunguka hayo baada ya Singida kuifunga KMC…

Read More