Kocha ASEC Mimosas amaliza utata wa Aziz KI, Ahoua

KOCHA wa Asec Mimosas, Julie Chevalier, amewachambua viungo washambuliaji Jean Charles Ahoua na Stephane Aziz KI waliowahi kucheza Ligi Kuu ya Ivory Coast kabla ya sasa kukiwasha Ligi Kuu Bara. Mastaa hao wanaokipiga kwenye klabu mbili kubwa Ligi Kuu Bara, Ahoua anaichezea Simba na Aziz KI Yanga, wote ni tegemeo katika vikosi vyao. Akizungumza na…

Read More

ZIARA YA BALOZI NCHIMBI YAFYEKA ACT, CUF NA CHADEMA KUSINI

Ziara ya Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, inayoendelea katika mikoa ya Kusini, akianzia Mtwara na sasa yuko Lindi, imewahamisha viongozi waandamizi wa vyama vya ACT Wazalendo, CUF na Chadema walioamua kujiunga CCM leo, wakisindikizwa na mamia ya wanachama waliorejesha kadi zao za vyama vya zamani kwa kasi kubwa…

Read More

Maofisa mawasiliano wataka kuthaminiwa ndani ya EAC

Dar es Salaam. Nafasi ndogo wanayopewa wataalamu wa uhusiano na mawasiliano  wa nchi za Afrika Mashariki kuwashauri viongozi wa Serikali na taasisi za umma, imetajwa kuchochea kauli kinzani zinazoibua migogoro baina ya nchi moja na nyingine. Imeelezwa kuwa, licha ya taaluma walizonazo kuhusu masuala ya uhusiano na mawasiliano, kwa bahati mbaya hawatumiki kushauri viongozi namna…

Read More

Ratiba yampasua kichwa Aussems | Mwanaspoti

KOCHA wa Singida Black Stars, Patrick Aussems amesisitiza umuhimu wa kutumia mapumziko ya wiki mbili za kalenda ya Fifa kuboresha kikosi ili kukabiliana na ratiba ngumu ya kucheza michezo mitatu ndani ya siku nane. Singida Black Stars ipo nafasi ya pili kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara ikikusanya pointi 23 nyuma ya Yanga yenye pointi…

Read More

Wataalam TZ walalamikia kukosekana sera ya Akili Mnemba – DW – 21.05.2024

Wakati matumizi ya teknolojia hiyo yakianza kuwavutia wengi ikiwamo vijana wanachipua katika elimu ya vyuo vikuu kumekuwa na wasiwasi kutokana na serikali kutoweka bayana kuhusu sera inayoangazia eneo hilo. Hatua hiyo inakuja wakati mjadala kuhusu matumizi ya teknolojia hiyo ukiwa umeanza kuchomoza katika maeneo mbalimbali ikiwamo mijadala ya wasomo pamoja na wabunge bungeni inayoendelea kushuhudiwa…

Read More

Samia ashika siri za mawaziri sita

Dar es Salaam. Baraza la Mawaziri chini ya Rais Samia Suluhu Hassan linahitimisha safari yake ya utumishi wa miaka minne, huku likiacha kumbukumbu sita za pekee, ikiwemo teua tengua 15 na kuanza bila ya Makamu wa Rais. Safari ya baraza hilo ilianza Machi 19, 2021, saa chache baada ya Rais Samia kuapishwa kuwa mkuu wa…

Read More

Kazi ipo eneo la kushuka daraja BDL

WAKATI Ligi ya Kikapu ya Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) ikizidi kushika kasi, mchuano umehamia kwa  timu zitakazoshuka daraja kazi ikiwa kwa timu tano zinazochuana zisishuke. Timu hizo ni KIUT yenye pointi 30, Jogoo (28), Ukonga Kings (27), Crowns (27) na Chui (25), zipo katika mtihani huku tatu kati ya hizo ndizo zitakazoshuka daraja….

Read More